
Shalom, karibu tuyatafakari maneno ya Bwana wetu na Mungu wetu Yesu Kristo, yeye ambaye ametuita katika neema yake hii ya wokovu kama alivyosema katika Yohana 15:16 Si ninyi mlionichagua mimi, bali ni mimi niliyewachagua ninyi; nami nikawaweka mwende mkazae matunda; na matunda yenu yapate kukaa; ili kwamba lo lote mmwombalo Baba kwa jina langu awapeni. Na ..