USILALE USINGIZI WAKATI HUU WA KUMNGOJEA BWANA Biblia inatusihii tusilale usingizi sisi tulio wana wa nuru..hasa katika wakati huu wa kungojea parapanda ya mwisho, huu ni wakati wa kukesha kweli Kweli. 1 Wathesalonike 5:1 Lakini, ndugu, kwa habari ya nyakati na majira, hamna haja niwaandikie. [2]Maana ninyi wenyewe mnajua yakini ya kuwa siku ya Bwana ..
Author : Yonas Kisambu
FANYA KAZI YA BWANA BILA KUCHOKA. Kama we ni msomaji wa biblia..utakuwa unafahamu habari ya Ruthu, alikuwa ni mwanamke wa kimataifa aliyekubali kufuatana na Mungu wa Israeli..kama vile sisi tuliokuwa watu wa mataifa tukakubali kumfuata Mungu wa Israeli na tukafanyika wana wa Israeli kupitia neema ya Yesu Kristo, hivyo tukisoma.. huyu mwanamke alikuwa ni mwanamke ..
LAKINI HAKUJUA YA KUWA BWANA AMEMWACHA. Jina la Mwokozi YESU libarikiwe. Karibu tujifunze biblia. Kama ni msomaji wa biblia utakuwa unafahamu ile habari ya Samsoni na Delila, leo kuna jambo nataka tujifunze katika hiyo habari. Tukisoma hiyo habari..tunaona baada ya Delila kumsumbua Samsoni kila siku ili atake kujua siri za nguvu zake, hatimaye Samsoni alikuja ..
HATARI YA KIU BAADA KUKOSA MAJI YA UZIMA Shalom: Nakusalimu kwa jina kuu lipitalo majina yote..jina la Bwana Yesu Kristo. Karibu tujifunze maneno yake ya uzima. Na leo tutaangalia hatari ya kupatwa na kiu ya kukosa maji ya uzima, yapo maji ya kawaida na pia yapo maji ya uzima ambayo Bwana alisema “yeyote atakayekunywa maji ..
USIRUHUSU CHAWA WAINGIE NDANI YAKO Jina kuu la Bwana Yesu Kristo libarikiwe milele daima. Karibu tujifunze biblia. Kabla hatujaangalia chawa wanawakilisha nini katika roho, hebu kwanza tutazame chawa wa kawaida na tabia zao kwa ufupi. Kama wengi tunavyojua chawa ni mdudu ambaye hukaa au kuishi kwenye mwili, nywele au nguo za kiumbe mchafu. Chawa hutokana ..
TUSILEWE KWA MVINYO BALI TUJAZWE ROHO Neno la Mungu linasema katika.. Waefeso 5:18 “Tena msilewe kwa mvinyo, ambamo mna ufisadi; bali mjazwe Roho;“ Katika biblia, mtu ambaye amejazwa Roho Mtakatifu anaonekana kama mlevi, kwasababu ya tabia zake kufanana na tabia za walevi. Hebu tusome maandiko yafuatayo ili tulithibitishe hili. Matendo ya Mitume 2:1 Hata ilipotimia ..
Je umeushinda ulimwengu? Yohana 16:31 “Yesu akawajibu, Je! Mnasadiki sasa? [32]Tazama, saa yaja, naam, imekwisha kuja, ambapo mtatawanyika kila mmoja kwao kwao, na kuniacha mimi peke yangu; walakini mimi si peke yangu, kwa kuwa Baba yupo pamoja nami. [33]Hayo nimewaambieni mpate kuwa na amani ndani yangu. Ulimwenguni mnayo dhiki; lakini jipeni moyo; MIMI NIMEUSHINDA ULIMWENGU.” ..
USIKUBALI KUPOTEZEWA MUDA Kati ya jambo ambalo unapaswa kuzingatia sana katika safari yako ya wokovu na hata katika maisha haya ni kitu kinachoitwa MUDA, ukweli ni kwamba muda ni kitu pekee ambacho kina thamani zaidi ya kila kitu..hapa duniani. Hakuna mtu aliyewahi kununua muda hata sekunde moja, haijalishi atakusanya fedha kutoka kwenye mabengi yote duniani, ..
NA WA KWANZA ATAKUWA WA MWISHO Shalom, nakusalimu katika jina la Bwana Yesu Kristo. Karibu tujifunze biblia maneno ya uzima. Biblia inatuambia “Heri mwisho wa neno kuliko mwanzo wake,…” (Mhubiri 7:8), hii ni kweli kabisa, mara nyingi watu ambao wanaanza vizuri kufanya jambo Fulani hawamalizi vizuri bali ni wengine wanakuja kutokea mwishoni na kufanya vizuri, ..
Usikubali kuvuliwa Mavazi na Ibilisi Shalom mtu wa Mungu.. jina la Bwana Yesu Kristo libarikiwe sana. Karibu tuongeze ufahamu katika Elimu ya ufalme wa Mungu. Maandiko yanasema katika.. Wakorintho 2: 9 ”Maana naliandika kwa sababu hii pia, ili nipate bayana kwenu kwamba mmekuwa wenye kutii katika mambo yote. [11] Shetani asije akapata kutushinda; KWA MAANA ..