Category : Biblia kwa kina

Nakusalimu kwa Jina kuu kupita majina yote, Jina la Yesu Kristo. Amani ya Kristo iwe pamoja nawe. Amina. Watu huwa wanafurahi sana wanapookoka na kufanyika watoto wa Mungu kwa kuwa ndani ya Yesu, ni jambo jema sana kwani hata mimi naifahamu vyema furaha ya Wokovu, yaani ni raha kweli hebu jaribu na wewe uone ambaye ..

Read more

Je biblia inaruhusu kubatiza kwa ajili ya wafu?(1Wakorintho 15:29)

1Wakorintho 15:29 “Au je! Wenye kubatizwa kwa ajili ya wafu watafanyaje? Kama wafu hawafufuliwi kamwe, kwa nini kubatizwa kwa ajili yao? Ili kuelewa mtume Paulo alimaanisha nini katika habari hiyo, tuanzie mistari ya juu kidogo, 1Wakorintho 15:12 “Basi, ikiwa Kristo anahubiriwa ya kwamba amefufuka katika wafu, mbona baadhi yenu husema kwamba hakuna kiyama ya wafu? ..

Read more