Hukumu ya ibilisi inayozungumziwa hapo ni ile hukumu aliyoipata ibilisi kutokana na kujivuna kwake, yaani kushushwa, hiyo ndiyo hukumu itakayo mpata kila ajivunaye na..
Hukumu ya ibilisi inayozungumziwa hapo ni ile hukumu aliyoipata ibilisi kutokana na kujivuna kwake, yaani kushushwa, hiyo ndiyo hukumu itakayo mpata kila ajivunaye na..
JIBU: Tofauti na wengi wetu tunavyodhani leo hii kuwa mtume aliyekuwa mkuu na wa kwanza kuliko wote kwenye biblia alikuwa ni Petro, na wengi tunadhani hivyo kutokana na maneo kadha wa kadha ambayo Bwana aliyokuwa akiyanena juu..
“Mego”, limetokana na neno, kumega. Kitu chochote kilichomegwa, au kunyofolewa mahali Fulani, ndicho kinachoitwa “Mego”. Ni kipande kidogo katika kitu kizima. Neno hilo utalisoma katika vifungu hivi; Mithali 17:1 “Afadhali mego kavu pamoja na utulivu, Kuliko nyumba yenye karamu nyingi pamoja na magomvi”. Maana yake ni kuwa, ni heri kuishi katika nyumba, ambayo kinachopatikana ni ..
Hivi ni baadhi ya vifungu ambavyo utaweza kukutana na Neno hilo. Isaya 51:7 “Nisikilizeni, ninyi mjuao haki, watu ambao mioyoni mwenu mna sheria yangu; msiogope matukano ya watu, wala msifadhaike kwa sababu ya dhihaka zao. 8 Maana nondo itawala kama vazi, na funza atawala kama sufu; bali haki yangu itakuwa ya milele, na wokovu wangu ..
Je! Ni kweli kuwa, karama ya kunena kwa lugha haikupewa kipaumbele katika kanisa na mtume Paulo kama makanisa mengi yanavyofany..
SABURI KATIKA BIBLIA ni uwezo wa kukubali mateso, dhiki, na shida kwa ajili ya Mungu, ni uwezo wa kuvumilia ukawiaji wa ahadi kutoka kwa Mungu, pasipo kuchoka na wala kupoteza imani na tumaini k..
Je! Ni lazima kila tunaposali au kuomba, tupige magoti? Kwa sababu tunaona katika habari ya Danieli, biblia inasema kuwa, alikuwa AKIPIGA MAGOTI MARA TATU KILA SIKU alipokuwa akisali (Danieli 6:10) Je! Kwa sababu hiyo tuhitimishe kuwa NI LAZIMA kupiga magoti tunaposali ..
Tofauti na mahali/eneo linaloitwa Arabuni, ambalo limetajwa sehemu kadha wa kadha katika biblia, kwamfano ukisoma vifungu hivi utaliona.. Yeremia 25:24 “na wafalme wote wa Arabuni, na wafalme wote wa watu waliochanganyika wakaao jangwani”; Ezekieli 27:20 “Dedani alikuwa mchuuzi wako, kwa nguo za thamani za kutandikia farasi. 21 Arabuni, na wakuu wote wa Kedari, ndio waliokuwa ..
Ikumbukwe kwamba, Ibrahimu aliambiwa na Mungu kuwa, atakuwa baba wa mataifa mengi duniani, yaani atakuwa na wana wengi katik..
Mungu ni mmoja tu! aliyeumba mbingu na nchi na vitu vyote vilivyomo na ndiye aliye juu..