Archives : April-2024

Marhamu, ni kimiminika kilichotengenezwa kutokana na mimea mbalimbali ili kufanya kitu kiwe na harufu nzuri na kufukuza wadudu na viumbe waharibifu, aya Kwa Jina lingine ni pafyumu Lakini viwango na ubora wa manukato hutofautiana, kukiwa na marhamu ya bei ghali ambayo hayapunguzi harufu haraka, kama yale yaliyotumiwa na Yesu huko Bethania yalikuwa na ghali kwa ..

Read more

Shalom nakusalimu katika jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo. Tukisoma katika maandiko Matakatifu Neno la Mungu linasema Yohana 4:24″Mungu ni Roho, nao wamwabuduo yeye imewapasa kumwabudu katika roho na kweli”. Mkristo yoyote aliekombolewa kweli kweli na Damu ya Yesu Kristo hahesabiwi haki mbele za Mungu kwa kushika siku,mwezi,Mwaka, kwa kuabudu. Hatuhesabiwi haki katika hayo!. Kuabudu ..

Read more

Safina ni chombo cha majini kilichotumika kuokoa, yaani kipo mahususi kwa ajili ya okombozi endapo tatizo litatokea ,Kwa lugha ya kiyahudi hiitwa  “Tevat”,  tukisoma katika maandiko Kipindi cha Nuhu, wakati Mungu alipotaka kungamiza dunia, Mungu alimpa Nuhu maagizo ya kutengeneza safina ambayo ataingia yeye pamoja na familia yake, na wanyama ambao Mungu alivuta waingia Kwa ..

Read more

Shalom!, Nakusalimu katika jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo. KK na BK ni vifupisho vinavyotumika kuonyesha nyakati mbali mbali. KK. Ni kifupisho kinachomaanisha “Kabla ya kuzaliwa Yesu Kristo”  yaani (B.C Before Christ) kwa kiingereza. Hivyo sehemu yoyote unapoona pameandikwa KK Maana yake wakati huo Kristo alikuwa bado hajazaliwa. B.K Ni kifupisho cha wakati chenye maana ..

Read more

Ukiwa kama mwamini mambo kama haya huna budi kujifunza na kuelewa ili yazidi kukuimarisha na kukujenga kiroho… Tukirudi kwenye swali letu linalosema Yesu alizaliwa wapi..Bwana Wetu Yesu Kristo alizaliwa katika Nchi/Taifa la ISRAELI, lililopo mashariki ya kati. Na mji aliozaliwa ni Bethlehemu ambao ulikuwa katika urithi wa kabila la YUDA… Mika 5:2 “Bali wewe, Bethlehemu ..

Read more

Liwali ni mkuu wa mji au jimbo fulani au Kwa maana nyingine anajulikana kama Gavana Mfano Katika biblia tunamsoma Yusufu, farao alimfanya kuwa liwali katika nchi yote ya Misri Mwanzo 42:6 6 Naye Yusufu alikuwa ni liwali juu ya nchi, ndiye aliyewauzia watu wote wa nchi. Nao ndugu zake Yusufu wakaja, wakainama kifudifudi mbele yake. ..

Read more

Shalom nakusalimu katika jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo. Iko hatari kubwa sana kwa watoto wa Mungu tunapolisikia Neno na tukashindwa kulifanyia kazi na tukalipuuzia tu ama tukatamani kuliishi lakini tusichukue hataua zozote. Yakobo 1:22-25″Lakini iweni watendaji wa neno, wala si wasikiaji tu, hali mkijidanganya nafsi zenu.23 Kwa sababu mtu akiwa ni msikiaji wa neno ..

Read more

JIBU..  Pentekoste ni Neno la kigiriki lenye maana YA HAMSINI, ilikuwa ni desturi ya wayahudi kusheherekea siku ya hamisini baada ya pasaka na waliagizwa na Mungu wewe wanafanya hivyo, ijapokuwa kwao walikuwa hawaiiti Pentekoste bali waiita ni SIKU KUU YA MAJUMA… Na hii ilitokea baada ya Mungu kuwaambia wahesabu majuma 7 ,yani sabato 7 kila ..

Read more

Makuruhi ni neno lenye  maana ya “kuchukiza kulikopitiliza” ,ni kama kumkosea mtu sana.., mfano tuseme mabeberu ni makuruhi kwa watu wa Africa, akimaanisha mabeberu ni watu wanaochukiza sana africa, watu wa africa hawawapendi kabisa mabeberu, kwasababu ukiangalia Katika historia ni watu waliowatesa sana na kuwaonea na kufikia hatua ya kuwafanya watumwa… Neno hili tunalipata hapa, ..

Read more

Wakili kibiblia ni mtu aliyepewa jukumu la kusimamia nyumba, au kaya ya mtu mwingine, na hii inajumuisha usimamizi wa kifamilia na si hapo tu huenda hadi katika mali alizo nazo Bwana wake. Jambo hili tunaweza kuliona katika kitabu cha mwanzo15:2, pale ambapo Eliezeri alipokuwa wakili wa Ibrahimu kwa kuwa mwangalizi wa mali za Ibrahimu tusome ..

Read more