Archives : April-2026

Silaha anazotumia shetani kumaliza nguvu za mwamini. Mwamini ni mtu aliyemwamini Bwana Yesu Kristo na kuzaliwa mara ya pili (kuokoka). Sasa ifuatayo ni silaha ambayo shetani anaitumia kumaliza nguvu za rohoni kwa mwamini (zipo silaha nyingi lakini leo tutazame baadhi tu). 1.Uzinzi na uasherati. Unapofanya uzinzi au uasherati baada ya kuzaliwa mara ya pili, au ..

Read more

KWANINI UNAENDA KANISANI? Jina kuu la Mwokozi YESU libarikiwe sana, karibu tujifunze maneno ya uzima wa roho zetu. Katika siku hizi za mwisho ukristo umechukuliwa kama pango la kujificha na maovu pamoja na kutimiza matakwa Fulani fulani tu, kiasi cha kwamba kila mtu anaweza kujiita mkristo tu na kwenda kujiandikisha kwenye kanisa Fulani..lakini hata hana ..

Read more

  ENYI WANA WA MWANAMKE MCHAWI. Isaya 57:3 “Lakini ninyi karibuni hapa, enyi wana wa mwanamke mchawi, uzao wa mzinzi na kahaba. [4]Mnafanya dhihaka yenu juu ya nani? Mmepanua vinywa vyenu, na kutoa ndimi zenu? Je, ninyi si wana wa uasi, uzao wa uongo; [5]ninyi mnaowasha tamaa zenu kati ya mialoni, chini ya kila mti ..

Read more

TUJIFUNZE KUJISTIRI KWA MALAIKA WA MUNGU. Malaika watakatifu waliopo mbinguni, wanaompa Mungu utukufu usiku na mchana, ni WAALIMU wazuri kukufundisha sisi jinsi ipasavyo kujistiri mbele za Mungu. Malaika wa watakatifu, (yaani Maserafi na Makerubi) wanaompa Mungu sifa na utukufu mchana na usiku sehemu kubwa ya mbawa walizopewa wanazitumia kujisitiri.. na wanajisitiri kuanzia kichwani mpaka miguuni…wanaposimama ..

Read more

UNATAWALA KAMA MFALME? Shalom nakusalimu katika jina la Yesu Kristo karibu tuyatafakari maneno ya uzima ya mwokozi wetu. Umewahi kufikiri kwa nini sehemu nyingi sana biblia inatuita sisi tulio zaliwa mara ya pili kuwa ni wafalme? Kwa nini isiseme tutawale kama maraisi au kama majemedali nk, katika muktadha au mazingira ya zamani hakukua na maraisi,wala ..

Read more

MACHO YAKO YAMETIWA NURU? Biblia inasema katika… Waefeso 1:18 “macho ya mioyo yenu yatiwe nuru, mjue tumaini la mwito wake jinsi lilivyo; na utajiri wa utukufu wa urithi wake katika watakatifu jinsi ulivyo” Biblia inapozungumzia mioyo..haimaanishi hii mioyo iliyomo ndani ya vifua vyetu inayosukuma damu…hapana bali inazungumzia utu wa ndani ambao ni roho zetu. Hivyo ..

Read more

NAWE UTAWAAMBIA MANENO YANGU, KWAMBA WATASIKIA, AU KWAMBA HAWATAKI KUSIKIA; Jina la Mwokozi wetu YESU KRISTO libarikiwe. Upo umuhimu wa kuhubiri injili mahali popote na katika mazingira yoyote kwasababu ni agizo la Bwana mwenyewe bila kuangalia watu wanapokeaje; wanataka kusikia au hawataki kusikia. Wapo watu wenye mioyo migumu..ambao wanajiziba masikio yao wasitake kusikia habari za ..

Read more

MAMBO UNAYOPASWA KUYAEPUKA KATIKA MAOMBI YA MFUNGO ILI UWE NA MAOMBI YENYE MATOKEO. Tutatazama mambo baadhi ambayo tunapaswa kuyaepuka kipindi ambacho tutakuwa katika Maombi ya mafungo, ili tuwe na  maombi yenye MATOKEO… 1. KUFUNGUA BILA KUOMBA Ukiwa katika kipindi cha mfungo kisha ukamaliza maombi yako labda ya masaa 12, 24 nk, na huku ukiwa ujachukua ..

Read more