Author : Yonas Kisambu

WALAKINI MAHALI PA JUU HAPAKUONDOLEWA. 2 Wafalme 14:4 “Walakini mahali pa juu hapakuondolewa; watu wakaendelea kutoa dhabihu na kufukiza uvumba katika mahali pa juu.” Jina la mwokozi Yesu libarikiwe daima, karibu tujifunze biblia neno la Mungu lililo taa na mwanga wa njia zetu. Katika Agano la kale nyakati za Wafalme, kuna watu walikuwa wanatoa sadaka ..

Read more

Mungu ndiye abadilishaye mashauri. Ni kawaida kusikia ushauri wa mtu Fulani ni zuri au kusikia yule usimsikilize ushauri wake utakupoteza. Lakini watu wengi hatujui kuwa ushauri wa Bwana ni mzuri zaidi ya ushauri wa wanadamu, kwani mara nyingi adui shetani amekuwa akiwatumia watu kuharibu maisha ya watu wengi kupitia ushauri ambao tunaweza kuupokea na kuona ..

Read more

Umuhimu wa kuwa ndani ya Yesu. Nakusalimu katika jina kuu la Bwana Yesu Kristo Mfalme wa Wafalme na Bwana wa Mabwana. Karibu tujifunze biblia kitabu cha uzima, na leo tutajifunza umuhimu wa kuwa na mahusiano mazuri na Mungu. (Kuwa ndani ya Yesu). Kwanza ndani ya Yesu kuna ulinzi. Na leo nitakuongezea chachu ya kuzama ndani ..

Read more

NAKUPA SHAURI UNUNUE KWANGU DHAHABU ILIYOSAFISHWA. Ufunuo wa Yohana 3:15 ”Nayajua matendo yako, ya kuwa hu baridi wala hu moto; ingekuwa heri kama ungekuwa baridi au moto. [16]Basi, kwa sababu una uvuguvugu, wala hu baridi wala moto, nitakutapika utoke katika kinywa changu. [17] KWA KUWA WASEMA, MIMI NI TAJIRI, nimejitajirisha, wala sina haja ya kitu; ..

Read more

Msaada wa Mungu unategemea jitihada zako. Kuna vitu hatuwezi kuvipokea kwa Mungu mpaka tuweke bidii kuvitafuta au kuvifanya ndiyo msaada wa Mungu utokee. Wengi tunashindwa kupiga hatua mbele kwasababu ya kumuachia Mungu afanye mambo yote…tunataka tuende tu mbele za Mungu tuombe atusaidie halafu turudi kukaa kusubiria huo msaada, nataka nikuambie leo ondoa hiyo mtazamo ndani ..

Read more

Je! biblia inaturuhusu tuwe na hasira sawa sawa na Waefeso 4:26? Awali ya yote tusome andiko lenyewe. Waefeso 4:26 Mwe na hasira, ila msitende dhambi; jua lisichwe na uchungu wenu bado haujawatoka; Hapo biblia inasema tuwe na hasira ila tusitende dhambi, lakini sehemu nyingine inasema hasira hukaa kifuani mwa wapumbavu (Mhubiri 7:9). Hapo imekaaje? Hasira ..

Read more

LAKINI SASA YAWEKENI MBALI NANYI HAYA YOTE. Wakolosai 3: 8 Lakini sasa yawekeni mbali nanyi haya yote, hasira, na ghadhabu, na uovu, na matukano, na matusi vinywani mwenu. [9]Msiambiane uongo, kwa kuwa mmevua kabisa utu wa kale, pamoja na matendo yake; Biblia imetuhasa tuweke mbali mambo hayo yote yaliyotajwa hapo juu; yaani hasira, ghadhabu, uovu, ..

Read more

FANYENI MAMBO YOTE KWA UTUKUFU WA MUNGU.  Jina kuu la Yesu Kristo Mfalme Mkuu libarikiwe sana. Karibu tujifunze biblia. Neno la Mungu linasema katika.. 1Wakorintho 10:31 “Basi, mlapo, au mnywapo, au mtendapo neno lo lote, fanyeni yote kwa utukufu wa Mungu. Biblia imetuagiza tufanye mambo yote kwa utukufu wa Mungu. Hii ikiwa na maana kuwa ..

Read more

OLE WENU NINYI!! Amosi 5:18 “Ole wenu! Ninyi mnaoitamani siku ya BWANA; kwani kuitamani siku ya BWANA? Ni giza, wala si nuru. [19]Ni kama mtu aliyemkimbia simba, akakutana na dubu; au aliingia katika nyumba akauegemeza mkono wake ukutani, nyoka akamwuma. Amosi 6:3-6,13 Ninyi mnaoiweka mbali siku hiyo mbaya, na kulileta karibu kao la udhalimu; [4]ninyi ..

Read more

Usimpelekee Bwana mashitaka ya maadui zako. Moja ya jambo ambalo linamchukiza sana Mungu ni maombi ya kuwaombea wanadamu wenzetu mabaya, hili linamchukiza sana na linaleta adhabu kwetu badala ya mazuri. Maombi ya kuwashitaki ndugu zetu kama maadui ni maombi mabaya sana, hata kama ni kweli wametuumiza. Hebu fikiria wewe ulipokuwa unawangia watu, unaiba vitu vya ..

Read more