Author : Yonas Kisambu

WOKOVU WA KWELI NI UPI? Habari ya uzima wako mtu wa Mungu, Ni siku nyingine tena leo nakukaribisha tushiriki pamoja kujifunza Neno la Mungu, maji yaliyosafi yasafishayo roho zetu kila siku. Je unaposema umeokoka, ni nini kinakupa uhakika huo? Wengi wetu tunafundishwa au tunafahamu kuwa ukitaka kuokoka jambo la kwanza ni kuamini Yesu alifufuliwa katika ..

Read more

SHIKA UZIMA WA MILELE ULIOITIWA Kila mmoja wetu aliyeokoka kweli kweli anapaswa kujua kitu cha kwanza Mungu alichotuitia sio mafanikio ya hapa duniani hayo ni ya ziada, lakini kikubwa ambacho tumeitiwa ni UZIMA WA MILELE. 1Timotheo 6:12 “Piga vita vile vizuri vya imani; SHIKA UZIMA ULE WA MILELE ULIOITIWA, ukaungama maungamo mazuri mbele ya mashahidi ..

Read more

Kwanini watu wengi watakataliwa siku ile? Kristo alisema watu wengi watakuja siku ile wakisema Bwana, Bwana, hatukufanya unabii kwa jina lako, na kwa jina lako kutoa pepo, na kwa jina lako kufanya miujiza mingi? (Mathayo7:22). Lakini yeye atawaambia sikuwajua kamwe, maana yake tangu mwanzo wakiwa wanalitumia jina lake hawakujulikana, japo kuwa walikuwa wanatoa pepo na ..

Read more

USINIPUNGUZIE MWENDO. Tukiwa bado tupo mwanzo wa mwaka, ni wakati wa kushika sana vile tulivyo navyo na kuendelea mbele, wala si wakati wa kurudi nyuma kabisa au kupunguza mwendo uliokuwa nayo. Ulikuwa upo mbali na anasa mwaka jana, basi huu mwaka unapasawa kwenda mbali zaidi, ulikuwa umejitenga na mambo ya kiulimwengu mwaka jana, mwaka huu ..

Read more

SULIBISHA MWILI WAKO KWA BWANA. Wagalatia 5:24 “Na hao walio wa Kristo Yesu wameusulibisha mwili pamoja na mawazo yake mabaya na tamaa zake. [25]Tukiishi kwa Roho, na tuenende kwa Roho”. Siku zote fahamu kuwa adui wa kwanza wa mtu ni MWILI wake na wala sio shetani. Shetani anautumia mwili wako kukushawishi utende dhambi. Hivyo ukiruhusu ..

Read more

BWANA, UUACHE MWAKA HUU NAO. Biblia inatufananisha sisi na kama miti izaayo matunda, hivyo kila mmoja wetu anapaswa azae matunda kwa Mungu, kadhalika biblia imetuonya pia mti usiozaa matunda utakatwa, kama tunavyosoma mfano Bwana wetu alioutoa katika Luka 13:6 “Akanena mfano huu; Mtu mmoja alikuwa na mtini umepandwa katika shamba lake la mizabibu; akaenda akitafuta ..

Read more

MWANZO WA MWAKA MPYA VAA SILAHA ZOTE ZA MUNGU Jina la Bwana YESU mkuu wa wafalme wa dunia (ufunuo1:5) na mkuu wa uzima libarikiwe daima. Heri ya mwaka mpya wa 2026, Karibu katika masomo yanayohusiana na mwanzo wa mwaka mpya..ili tuanze mwaka wetu na Bwana na tukapokee baraka tele za rohoni na mwilini. Ikiwa we ..

Read more

SIKU YA BWANA KULIPISA KISASI KWA ADUI ZAKE INAKUJA. Nahumu 1:2 “BWANA ni Mungu mwenye wivu, naye hujilipiza kisasi; BWANA hujilipiza kisasi, naye ni mwingi wa hasira; BWANA hujilipiza kisasi juu ya adui zake, huwawekea adui zake akiba ya hasira”. Adui za Bwana ni mashetani na wafuasi wake wote. Yaani marafiki wote wa dunia hii, ..

Read more

JE! UMETOLEWA MISRI? Jina la Mwokozi Yesu, libarikiwe. Karibu tujifunze maandiko, Neno la Mungu wetu ambalo ndio taa iongozayo miguu yetu, na Mwanga wa njia yetu (Zab.119:105). Safari ya wana wa Israeli kutoka Misri, kuelekea Kaanani, ni ufunuo kamili wa safari yetu ya Kristo kutuokoa katika dhambi na kutuingiza katika Neema ya wokovu. Musa anafananishwa ..

Read more

KUWA MTU WA KUTAFAKARI Mwanzo 24:63 Isaka akatoka ili KUTAFAKARI kondeni wakati wa jioni; akainua macho yake, akaona, kuna ngamia wanakuja. Nakusalimu katika jina tukufu la Bwana wetu Yesu Kristo, karibu tuyatafakari maneno ya uzima. Siku ya leo tutaenda kujifunza jambo moja ambalo ni muhimu kulitendea kazi katika safari yetu ya Imani, Na jambo lenyewe ..

Read more