Moja ya ishara ambazo Bwana Yesu alizataja kuwa zitaambatana na wale waliomwamini na kubatizwa (katika ubatizo sahihi ambao ni kwa jina la Yesu Kristo na kuzamishwa katika maji tele), ni kuwa WATASEMA KWA LUGHA MPYA, zingine zikiwa ni up..
Moja ya ishara ambazo Bwana Yesu alizataja kuwa zitaambatana na wale waliomwamini na kubatizwa (katika ubatizo sahihi ambao ni kwa jina la Yesu Kristo na kuzamishwa katika maji tele), ni kuwa WATASEMA KWA LUGHA MPYA, zingine zikiwa ni up..
Ndugu mpenzi, ikiwa na wewe ni miongoni mwa watu walioamua kujitwika misalaba yao binafsi na kumfuata Bwana sawasawa na neno lake katika (Marko 8:34), basi tambua kwamba, huna budi kukumbuka maneno yake ya husia kila siku unapojikana nafsi yako na kijitwika msal..
Kumekuwa na baadhi ya watu ambao kwa kukosa maarifa, wanajikuta wanatoa maneno ambayo ni kinyume na maandiko matakatifu katika sala zao, hii ni kutokana na kuwa wavivu kuchunguza na kusoma Biblia zao, au kudanganywa na dini za uongo na mitume wa uongo ambao wanajigeuza na kuwa mfano wa mitume..
Swali; Nini maana ya mstari huu “Sitawaadhibu binti zenu wazinipo, wala bibi arusi zenu wafanyapo uasherati; maana wao wenyewe huenda kando pamoja na wanawake wazinzi, hutoa dhabihu pamoja na makahaba; na watu hawa wasiofahamu wataangamia.” Hosea 4:14 JIBU; Kitabu cha Hosea kimeandikwa karne ya 8 K.K, na karne hiyo hiyo Israel upande wa kazikazini iliyokuwa ..
Umeshawahi kujiuliza kwanini Bwana Yesu alisema “amuaminiye yeye haukumiwi (Yohana 3:18)” harafu baadae anakuja na kusema tena “ANIAMINIYE MIMI KAMA VILE MAANDIKO YALIVYONENA? Umeshawahi tafakari kwa umakini maneno hayo..
Mtume Paulo alisema maneno haya katika waraka wake wa pili kwa Wakorintho
2 Wakorinto 7:8 Kwa sababu, IJAPOKUWA NALIWAHUZUNISHA KWA WARAKA ULE, SIJUTI; hata ikiwa nalijuta, naona ya kwamba waraka ule uliwahuzunisha, ingawa ni kwa k..
Mahubiri haya, yaliwafanya watu kuridhika, na zaidi wakaendelea katika maovu yao huku wakilitumainia HEKALU LA BWANA, Ndipo Yeremia akawaambia msiseme hekalu la Bwana tunalo, HEKALU LA BWANA NDIO HAYA! Haya ninayowaeleza kwa habari ya njia zenu ndio hekalu, Yale YALIYOANDIKWA ndio hekalu la Bwana, na n..
Biblia inasema katika…
Matayo 7:7 Ombeni, nanyi mtapewa; TAFUTENI, NANYI MTAONA; BISHENI, NANYI MTAFUNGULIWA;
8 kwa maana kila aombaye hupokea; naye atafutaye huona; NAYE ABISHAYE ATAF..
Sote tunafahamu kuwa, Mungu husema na kila mtu duniani kwa nyia nyingi na tofauti tofauti, Mungu husema na watakatifu kwa njia tofauti tofauti, husema na wenye dhambi kwa nyia nyingi mno, husema pia na watu walio na ulemavu wa akili, ..
Moja ya kazi ya ibilisi duniani ni kutaka kuwafanya wanadamu wadumu katika dhambi na kujifariji katika hizo, na kitu ambacho ibilisi anakitumia ili kuwafanya watu wadumu katika dhambi si kingine zaidi ya maandiko matakatifu, kumbuka, ibilisi haji na kitabu cha fizikia, au sayansi, au ..