JIBU: Si sawa kimaandiko hata kidogo. Kumekuwa na mafundisho ambayo yanafundisha watu kufanya sala au maombi kwa malaika fulani, mfano; kuna watu wanafundisha mafundisho ya rozali ya malaika mkuu mikaeli na kusema ..
JIBU: Si sawa kimaandiko hata kidogo. Kumekuwa na mafundisho ambayo yanafundisha watu kufanya sala au maombi kwa malaika fulani, mfano; kuna watu wanafundisha mafundisho ya rozali ya malaika mkuu mikaeli na kusema ..
Jibu ni ndio na si sawa kabisa kwa mwanamke wa Kikristo kuvaa suruali kwani ni MACHUKIZO mbele za Mungu kwa mwanamke yeyote anayefa..
Neno mama kanisa asili yake ni kutoka katika lugha ya kilatini “Mater Ecclesiae” ambalo tafsiri yake kwa lugha ya kiswahili ni mama kanisa. Jina hili lilitolewa rasmi na papa Paulo wa VI wa kanisa katoliki kwa heshima ya Maria kama mama wa kanisa. Lakini je? Maria ni mama wa kanisa la Kristo? Na kanisa la Kristo ..
Maungamo aliyoyaungama Bwana Yesu Kristo siku ile mbele ya pilato, ni juu ya TUMAINI LA UFALME UJAO WENYE UZIMA ..
Hukumu ya ibilisi inayozungumziwa hapo ni ile hukumu aliyoipata ibilisi kutokana na kujivuna kwake, yaani kushushwa, hiyo ndiyo hukumu itakayo mpata kila ajivunaye na..
JIBU: Tofauti na wengi wetu tunavyodhani leo hii kuwa mtume aliyekuwa mkuu na wa kwanza kuliko wote kwenye biblia alikuwa ni Petro, na wengi tunadhani hivyo kutokana na maneo kadha wa kadha ambayo Bwana aliyokuwa akiyanena juu..
Tofauti na inavyodhaniwa na wengi kuwa, mke anapaswa kutii kila kitu kutoka kwa mumewe hata kama ni vitu viovu, hivyo kupelekea wake wengi katika ndoa zao kufanya dhambi mbele za Mungu kwa sababu tu wanataka ku..
“Mego”, limetokana na neno, kumega. Kitu chochote kilichomegwa, au kunyofolewa mahali Fulani, ndicho kinachoitwa “Mego”. Ni kipande kidogo katika kitu kizima. Neno hilo utalisoma katika vifungu hivi; Mithali 17:1 “Afadhali mego kavu pamoja na utulivu, Kuliko nyumba yenye karamu nyingi pamoja na magomvi”. Maana yake ni kuwa, ni heri kuishi katika nyumba, ambayo kinachopatikana ni ..
Kabla ya kujibu swali hilo, tujiulize kwanza swali hili, je! Ni sahihi kwa wale ambao, tayari ni mke na mume kufanya kitendo hicho ndani ya kanisa? Kama si sahihi kwa watu ambao ni wana nd..
Jibu: Tusome.. Mwanzo 5:1 “Hiki ndicho kitabu cha vizazi vya Adamu. Siku ile Mungu alipoumba mtu, kwa sura ya Mungu alimfanya; 2 mwanamume na mwanamke aliwaumba, akawabariki AKAWAITA JINA LAO ADAMU, siku ile walipoumbwa”. Sio kwamba, Mungu alikosea, kuwapa jina moja, kana kwamba hakumuona mwanamke Hawa. Hapana, kulikuwa na sababu kubwa sana.. Mungu anavyoona sio ..