Katika biblia, kuanzia kitabu cha mwanzo hadi cha ufunuo, hakuna sehemu yoyote ile iliyorekodiwa kuwa, Mariamu mama yake Bwana Yesu alipalizwa mbinguni. Ukimtoa Yesu Kristo, aliyechukuliwa juu katika Utukufu, maandiko matakatifu yanarekodi watu wawili tu wasioonja mauti, ambao ni Henoko na nabii Eliya,..
Category : Uncategorized
Biblia inasema katika…
Matayo 7:7 Ombeni, nanyi mtapewa; TAFUTENI, NANYI MTAONA; BISHENI, NANYI MTAFUNGULIWA;
8 kwa maana kila aombaye hupokea; naye atafutaye huona; NAYE ABISHAYE ATAF..
SWALI: Bwana Yesu asifiwe wapendwa, naomba msaada wa kujua jibu la swali hili, je! kuna tofauti gani kati ya mtu wa Mungu na mtoto..
Sote tunafahamu kuwa, Mungu husema na kila mtu duniani kwa nyia nyingi na tofauti tofauti, Mungu husema na watakatifu kwa njia tofauti tofauti, husema na wenye dhambi kwa nyia nyingi mno, husema pia na watu walio na ulemavu wa akili, ..
Moja ya kazi ya ibilisi duniani ni kutaka kuwafanya wanadamu wadumu katika dhambi na kujifariji katika hizo, na kitu ambacho ibilisi anakitumia ili kuwafanya watu wadumu katika dhambi si kingine zaidi ya maandiko matakatifu, kumbuka, ibilisi haji na kitabu cha fizikia, au sayansi, au ..
Isaya 66:23 inasema, Na itakuwa, MWEZI MPYA HATA MWEZI MPYA, NA SABATO HATA SABATO, wanadamu wote watakuja kuabudu mbele zangu, asem..
Ulishawahi kujiuliza swali kama hilo au swali linalofanna na hilo? Au ulishawahi kutamani kitu kama hicho kutoka kwa Bwana? Kama jibu ni ndio, basi fahamu kuwa wewe sio wa kwanza, kwani hata mitume wake waliotembea nae na kula walishawahi omba kitu kama hicho kut..
Ulishawahi jiuliza kwanini Mungu aliamua kutetemesha misingi ya gereza wakati Sila na Paulo walipokuwa wakimwomba na kumwimbia usiku wa manane? Au unadhani Mungu alishindwa kuwatoa gerezani Sila na Paulo katika kifungo ch..
SWALI: Kwanini tukisoma maandiko tunaona watu wa kanisa la kwanza walikuwa wakijazwa Roho Mtakatifu zaidi ya ..
Maneno hayo aliyaandika mtume Paulo kwa makanisa yaliyokuwapo Korintho, ambayo kutokana na utajiri wa neema ya Mungu waliyoipata kwa kuamini, na kujaaliwa karama za rohoni, na nguvu..