Archives : February-2022

Nakusalimu kwa Jina kuu kupita majina yote, Jina la Yesu Kristo. Amani ya Kristo iwe pamoja nawe. Amina. Watu huwa wanafurahi sana wanapookoka na kufanyika watoto wa Mungu kwa kuwa ndani ya Yesu, ni jambo jema sana kwani hata mimi naifahamu vyema furaha ya Wokovu, yaani ni raha kweli hebu jaribu na wewe uone ambaye ..

Read more

Biblia ni nini? Je Neno hilo lipo katika biblia yenyewe?.

BIBLIA NI NINI? Chimbuko la Neno Biblia, ni kutoka katika lugha ya Kiyunani, lenye maana ya “Mkusanyiko wa vitabu vitakatifu” Kikiwa kimoja kinaitwa Biblioni, lakini vikiwa vingi huitwa Biblia. Na vilizoeleka kuitwa hivyo kwasababu vitabu vya awali vya agano jipya, sehemu kubwa viliandikwa katika lugha hii ya Kiyunani, Kwahiyo vilipokusanywa Pamoja viliendelea kuitwa hivyo hivyo ..

Read more