Author : Paul Elias

Kuna umuhimu wowote wa kunena kwa Luga?. Jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo lihimidiwe Karibu tuyatafakari meneno ya uzima. Nini maana ya kunena kwa Lugha?. Ni kuongea au kuomba kwa Lugha ya kipekee ya rohoni, ambayo haieleweki kwa akili ya kawaida . Lugha hii si Lugha ya kawaida ya binadamu bali ni Lugha ya Rohoni ..

Read more

Shukuruni kwa kila jambo Nakusalimu katika Jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo Karibu tuyatafakari maneno ya uzima.! Umewahi kufikiri kwa ni nini Maandiko yanatutaka tushukuru kwa kila jambo? Ni jambo ambalo si jepesi haswa pale unapopitia katika magumu si rahisi kushukuru kwa ajili ya hayo magumu. Ni rahisi kumshukuru Mungu katika mazuri tu lakini katika ..

Read more

Jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo lihimidiwe milele yote karibu tuyatafakari maneno ya uzima. Ipo tofauti kubwa kati ya mtu ambae amekua kiroho na ana karama za rohoni na mtu ambae anakarama za rohoni lakini ni mchanga katika roho yaani hajakua bado. Ni jambo ambalo linawachanganya Wakristo wengi wanashindwa kuelewa badala yake wanapoona mtu anafanya ..

Read more

Bali utafuteni kwanza ufalme wake. Nakusalimu katika jina la mwokozi wetu Yesu Kristo karibu tuyatafakri maneno ya uzima ya mwokozi wetu. Bwana Yesu aliwaambia maneno haya wanafunzi wake wale ambao tayari walikuwa wamekubali kumfata. Hakuwa anazungumza na wapagani. Kuna waliomuelewa anamaanishha nini na kuna wale ambao hawakumuelewa alikuwa anamaanisha nini. kama Yule kijana aliambiwa na ..

Read more

  Umepandwa kandokando ya vijito vya maji.?. Nakusalimu katika Jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo Karibu tuyatafakari maneno ya uzima. Zaburi 1 1 Heri mtu yule asiyekwenda Katika shauri la wasio haki; Wala hakusimama katika njia ya wakosaji; Wala hakuketi barazani pa wenye mizaha. 2 Bali sheria ya Bwana ndiyo impendezayo, Na sheria yake huitafakari ..

Read more

Usishindane na zinaa ikimbie!. Jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo lihimidiwe milele yote karibu tuyatafakari maneno ya uzima. Tofauti na inavyodhaniwa na watu wengi kwamba zinaa(uasherati & uzinzi) kwamba ni tamaa za mwilini/hitaji la mwili lakini ukweli ni kwamba sivyo jambo hili ni vita inayoanzia ndani yaani ni vita vya rohoni baadae ndio vinatokea mwilini ..

Read more

Wekeza muda wako mwingi katika mambo ya Rohoni. Nakusalimu katika Jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo Karibu tuyatafakari maneno ya uzima. “Usipoyatendea kazi mambo ya rohoni utayatendea kazi mambo ya mwilini.” “ Usiposhugulika na mambo ya rohoni utashughulika na mambo ya mwilini.” “ Usipotembea katika roho utatembea mwilini” Watoto wa Mungu wengi katika nyakati hizi ..

Read more

Iepuke injili ya namna hii. Nakusalimu katika Jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo Karibu tuyatafakari maneno ya uzima. Injili ni habari njema kutoka kwa Mungu kwa watu wote. Yenye lengo au kusudi la kumrejesha mwanadamu katika mpango mkamilifu kwa Mungu. Wakati fulani nilipokuwa katika kuhubiri(uinjilisti/kuwashuhudia watu). Nilikutana na dada mmoja ambae hakutaka kabisa kuhubiriwa habari ..

Read more

  Usifungue mlango wa dhambi katika maisha yako. Jina la Mwokozi wetu wetu Yesu Kristo lihimidiwe Karibu tuyatafakari maneno ya uzima. Dhambi ni kitu kinachoweza kukusababishia madhara makubwa sana katika maisha yako ya wakovu( hata kuharibu hatima yako). Na siku zote dhambi huwa inakuja kwa namna ya kawaida sana yaani kukufanya uone hakuna madhara yoyote ..

Read more

  “Lakini si kama nitakavyo,bali kama utakavyo wewe” Nakusalimu katika Jina la mwokozi wetu Yesu Kristo Karibu tuyatafakari maneno ya uzima. Andiko hili tunalipata katika kitabu cha Mathayo 26:39 wakati ambapo Bwana Yesu anakaribia kwenda kusurubiwa.. Sasa katika mstari huu kuna mambo kadhaa ya kujifunza.. Sote tunafahamu kwa kufunuliwa na Roho Mtakatifu Yesu alikuwa Mungu ..

Read more