Author : Paul Elias

Nawezaje kumfahamu Mungu?. Nakusalimu katika Jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo.  Karibu tuyatafakari maneno ya uzima. Kila mtu aliemwamini Yesu Kristo yaani Mkristo anatamani kumfahamu zaidi Mungu na anatamani Mungu ajifunue kwake azidi kumfahamu zaidi. Lakini bahati mbaya Wakristo wengi wanaishia kumjua tu Mungu lakini wengi hawamfahamu Mungu. Utajiuliza ni kwa namna gani? Kabla ya ..

Read more

Naamini nisaidie kutokuamini kwangu. Jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo libarikiwe karibu katika tafakari ya neno la Mungu. Andiko hilo tunalipata katika kitabu cha Marko 9:19-23 habari ambayo tunaifahamu wote kama wewe ni Msomaji wa biblia na kuna jambo kubwa hapo tutajifunza siku ya leo. Katika habari hiyo tunasoma juu ya kijana aliyekuwa na pepo ..

Read more

Ufalme wa mbinguni unapatikana kwa nguvu. Jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo libarikiwe karibu tuyatafakari maneno ya uzima. Kama vile mambo ya duniani hapa jinsi tunavyoyataabikia na kuyasumbukia ili tuyapate na mwisho tuwe na maisha mazuri.  Kama vile Fedha,Elimu,nk Unatumia muda mwingi katika kuhakikisha unajiweka vizuri katika maswala ya kifedha, kuongeza elimu zaidi na kufanya ..

Read more

Heri walio masikini wa roho. Jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo litukuzwe. Karibu tuyatafakari maneno ya uzima. Bwana Yesu anawaambia makutano pamoja na wanafunzi wake waliokubali kupanda/kumfata kule mlimani kwenda kumsikiliza katika hotuba yake na mambo mengi sana aliwafundisha. Akiwaeleza mambo mbali mbali juu ya wao wanatakiwa kuwa ni watu wa namna gani kama hujapata ..

Read more

Kuwa Mtu Chunguza-chunguza na tafuta-tafuta. Nakusalimu katika Jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo Karibu tuyatafakari maneno ya uzima. Mtu wa kuchunguza-chunguza ni anatafsirika kwa namna gani? Mtu anayechunguza na kutafuta kuhusu mambo ya rohoni mara nyingi ni mtu anayehisi kiu ya kiroho au anayetafuta maana ya maisha, uelewa wa kiroho, na uhusiano wa kina na ..

Read more

Mungu amewekeza kitu kwako je! Unakitumiaje?. Nakusalimu katika Jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo Karibu tuyatafakari maneno ya uzima. Kila mmoja mmoja wetu pale tu anapookoka Mungu anawekeza kitu ndani yako ambacho Mwisho wa siku anatarajia kiongezeke zaidi ya vile alivyokiweka kwa mara ya kwanza. Na ni jukumu lako kuhakikisha kinaongezeka. Kama vile muwekezaji yeyote ..

Read more

Maono yako ni nini katika mwaka mpya 2025 Nakusalimu katika Jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo Karibu tuongeze maarifa zaidi. Ni muhimu kwanza tukaelewa nini maana ya maono katika Muktadha wa kawaida kabisa. Maono ni nini? Ni dira au ndoto kuhusu maisha yako au malengo yako ya baadae. Tunaweza kusema.. ni muelekeo wa kimkakati unaolenga ..

Read more

“Mkiwa na Imani, Msipokuwa na Shaka Mtafanya si hilo la Mtini tu,.. Nakusalimu katika Jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo Karibu tuyatafakari maneno ya uzima. Wote tunaifahamu habari inayopatikana katika kitabu cha Mathayo 21:19-22 kama huifahamu ni vyema ukachukua muda wako kusoma na kutafakari naimani Roho Mtakatifu atakupa mengi zaidi kutoka katika habari hiyo fupi. ..

Read more

Nakusalimu katika jina la mwokozi wetu Yesu Kristo karibu tujifunze  Neno la uzima. Somo hili ni maalumu kwa wanawake wote waliomwamini Yesu Kristo kuwa ni Bwana na mwokozi wa maisha yao(Wanaoukiri uchaji wa Mungu). Hivyo ikiwa wewe ni mwanamke ni muhimu sana ukasoma na kutafakari ujumbe huu na Yesu Kristo atasema na wewe kwa namna ..

Read more

Nakusalimu katika Jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo Karibu tuyatafakari maneno ya uzima. Watu wengi wana bidii katika maombi wengine wanafunga kwa kipindi kirefu lakini mwisho wa siku hawaoni matokeo katika kile walichokuwa wanakiomba. Mwisho inapelekea kukata tamaa na kuona kama Mungu hawasikii ama yupo mbali na wakati mwingine wanahisi kuwa huenda wamekosea mahali fulani ..

Read more