Author : Yonas Kisambu

MFAHAMU MFALME YOSIA. Shalom: karibu tujifunze biblia kwa kina. Mfalme Yosia ni nani? 2 Wafalme 22:1 “Yosia alikuwa na umri wa miaka minane alipoanza kutawala; akatawala miaka thelathini na mmoja katika Yerusalemu; na jina la mama yake aliitwa Yedida, binti Adaya wa Bozkathi.” Mfalme Yosia ni Moja ya Wafalme 19 waliotawala Yuda, enzi zile za ..

Read more

NI TUMAINI GANI HILI UNALOLITUMAINIA? Jina la mwokozi wetu YESU KRISTO lisifiwe daima, Nakukaribisha ndugu mpendwa tujifunze maandiko. Ikiwa kama mkristo fahamu kuwa kuna wakati watu wanaokuzunguka watataka kujua ni tumaini gani unalolitumainia mpaka unaishi maisha ya kujiamini namna hiyo. Ukiletewa habari ya ugojwa mpya uliozuka hauogopi!, huna hofu na wachawi wala majini, hata hauogopi ..

Read more

USISUBIRI MPAKA UVUMILIVU WA MUNGU UKOME JUU YAKO. Jina la Bwana wetu Yesu libarikiwe. Nakukaribisha tulitafakari Neno la Mungu, ambalo ndio pekee lenye uwezo wa kuokoa roho za watu. Na leo nataka tuitafakari tena juu ya hukumu ya Mungu inayokuja ulimwenguni. Ndugu yangu usidhani ukiachwa sasa kwenye UNYAKUO utakuwa na nafasi ya pili mbele za ..

Read more

NA HAPO PATAKUWA NA NJIA KUU Isaya 35: 8 “Na hapo patakuwa na NJIA KUU, na njia, NAYO ITAITWA, NJIA YA UTAKATIFU; wasio safi hawatapita juu yake; bali itakuwa kwa ajili ya watu hao; WASAFIRIO, WAJAPOKUWA WAJINGA, HAWATAPOTEA KATIKA NJIA HIYO”. Jina la Bwana na Mwokozi wetu YESU KRISTO libarikiwe daima. Karibu katika mafundisho ya ..

Read more

MWENYE HEKIMA ASIJISIFU KWASABABU YA HEKIMA YAKE. Je! Unajisifia nini ndani ya moyo wako? Jina la Bwana Yesu libarikiwe ndugu yangu..Karibu tuyatafakari kwa pamoja maneno ya uzima, Maneno ya Mungu yanasema.. “.. Mwenye hekima asijisifu kwa sababu ya hekima yake, wala mwenye nguvu asijisifu kwa sababu ya nguvu zake, wala tajiri asijisifu kwa sababu ya ..

Read more

Tukio hili litatokea hivi karibuni na kuishangaza dunia. Je! Unafahamu tukio kubwa na la kushangaza ambalo lipo mbioni kutokea? Kama hulifahamu, basi kuna hatari kubwa iko mbele yako…kwa maana itakujia ghafla kama vile mtego unasavyo. Siku zote gari ambalo linakimbia kwa spidi kubwa kwenye barabara ya vumbi, huwa kuna vumbi ambayo inaonekana kwa mbali ambayo ..

Read more

CHANZO CHA MATATIZO Jina kuu la Bwana wetu Yesu Kristo libarikiwe. karibu tujifunze Neno la Mungu ambalo ndio taa iongozayo njia zetu. Biblia inasema “Mjue sana Mungu ili uwe na Amani (Ayubu 22:21)”..Siku zote ukijua sababu ya jambo Fulani basi unapata amani. Amani inakuja baada ya kujua sababu ya jambo Fulani. Leo tutajifunza juu ya ..

Read more

Anasa ni nini? Na kwanini ni dhambi kwa mkristo kuishi maisha ya anasa. Anasa linatotoka na neno la Kiarabu lenye maana ya raha au starehe tele katika maisha ya binadamu. Anasa mara nyingi hujumuisha kumiliki vitu fulani vya thamani kubwa, au kuishi mazingira fulani, au kutumia vyakula fulani, au kitu chochote cha kufurahisha mwili ambacho ..

Read more

Usikimbilie kutafuta msaada kwa miungu. Jambo linalomchukiza Mungu sana ni pale watoto wake wanapokimbilia kutafuta msaada kwa miungu wakati yeye yupo na hashindwi na jambo lolote. Na miungu siyo tu kwenda kwa waganga wa kienyeji, au kwa manabii wa uongo.. bali hata kwa watu wa kawaida…ukiwategemea sana wanakuwa miungu yako na mwisho wa siku Mungu ..

Read more

ADUI AKIONA AMESHINDWA ANAKUJA KWA HILA. Si kila wakati ibilisi atakuja kama mpingamizi, au mharibifu, hapana, lengo lake litakuwa ni hilo ndio, lakini akijua hawezi tena kuja moja kwa moja, atakuja kwa ujanja wa kujionyesha ameshindwa wewe una nguvu nyingi, atajiweka chini yako, ajifanye kuwa yeye siku zote ni mnyonge tu.. lakini kumbe ameshakuweza. Ndicho ..

Read more