Author : Yonas Kisambu

YESU KRISTO TUMAINI LA UTUKUFU Wakolosai 1:24-24 “Sasa nayafurahia mateso niliyo nayo kwa ajili yenu; tena nayatimiliza katika mwili wangu yale yaliyopungua ya mateso ya Kristo, kwa ajili ya mwili wake, yaani, kanisa lake; [25]ambalo nimefanywa mhudumu wake, sawasawa na uwakili wa Mungu, niliopewa kwa faida yenu, nilitimize neno la Mungu; [26]siri ile iliyofichwa tangu ..

Read more

Je mzigo wako umeondolewa begani mwako? Shalom jina la Bwana libarikiwe. Karibu tujifunze maneno ya Mungu. Biblia inasema katika.. Isaya 10:27 “Tena itakuwa katika siku hiyo mzigo wake utaondoka begani mwako, na nira yake shingoni mwako, nayo nira itaharibiwa, KWA SABABU YA KUTIWA MAFUTA”. Hayo ni maneno ya faraja ambayo Mungu anasema na watu wake ..

Read more

DHAMBI YA KUTOLIPA MADENI INAVYOWEZA KUMPELEKA MTU MOTONI  Kumekuwa na tabia ya wana wa Mungu wengi kukopa pasipo kulipa madeni wanayodaiwa, wengine hudhani ya kwamba wanapotubu tu Mungu anawasamehe madeni ya watu, HAPANA huko ni kujidanganya na kukosa maarifa, mtu anapotubu Mungu anamsamehe yale madeni anayodaiwa na Mungu mwenyewe tu nayo ni madeni ya dhambi ..

Read more

Je! Unayo akili? Kumbukumbu la Torati 32:29 Laiti wangekuwa na akili, hata wakafahamu haya, Ili watafakari mwisho wao. Mtu mwenye akili ni mtu mwenye uwezo wa kufikiri/kupambanua vema na kufanya maamuzi sahihi katika maeneo mbalimbali ya maisha yake. Lakini, je biblia inasemaje kuhusu mtu mwenye akili, biblia inasema.. “.. mtu mwenye akili njia ya uhai ..

Read more

  KUBALI KUPITISHWA KATIKA MOTO UWE SAFI. Hesabu 31:23 kila kitu kiwezacho kuuhimili moto, MTAKIPITISHA KATIKA MOTO, NACHO KITAKUWA SAFI, pamoja na haya kitatakaswa kwa hayo maji ya farakano; na kila kitu kisichouhimili moto mtakipitisha katika hayo maji. Unapozaliwa mara ya pili kwa kumwamini Yesu Kristo na ukatubu dhambi kwa kumaanisha kuziacha kabisa kisha ukabatizwa ..

Read more

IKIMBIENI ZINAA Jina la Bwana na Mwokozi wetu Yesu libarikiwe. Karibu tujifunze biblia Neno la Mungu wetu lililo taa ya miguu yetu na mwanga wa njia yetu. Neno la Mungu linatuelekeza TUKIMBIE ZINAA na wala sio tukemee au tuiombee, maana yake kabla ya kuomba na kuombewa kwa habari ya maroho ya zinaa, ni sisi kwanza ..

Read more

KANISA NA SIKU ZA HATARI Shalom: Jina kuu la Bwana Yesu Kristo libarikiwe. Karibu tujifunze Neno la Mungu lililo taa ya miguu yetu na Mwanga wa njia zetu (Zaburi 119:105). Kabla hatujaendelea mbele kujifunza ujumbe wa Roho Mtakatifu, hebu kwanza turudi shule, bila shaka umewahi kusoma soma la biolojia(sayansi), sasa kuna jambo nataka tujikumbushe linalohusiana ..

Read more

JIWEKENI TAYARI!! JIWEKENI TAYARI!! Mathayo 24:43-44 Lakini fahamuni neno hili; kama mwenye nyumba angaliijua ile zamu mwivi atakayokuja, angalikesha, wala asingaliiacha nyumba yake kuvunjwa. [44]Kwa sababu hiyo ninyi nanyi JIWEKENI TAYARI; kwa kuwa katika saa msiyodhani Mwana wa Adamu yuaja. Unaelewa maana ya kujiweka tayari? Ili kuelewa vizuri, hebu tafakari kuhusu wanariadha, wakati wamejipanga kwenye ..

Read more

TUPO KATIKA ILE SAA YA KUJARIBIWA. Ufunuo 3:10 “Kwa kuwa umelishika neno la subira yangu, mimi nami nitakulinda, utoke katika saa ya kuharibiwa iliyo tayari kuujilia ulimwengu wote, KUWAJARIBU WAKAAO JUU YA NCHI”. Kuna saa ya kuharibiwa inakuja huko mbeleni, ni wakati ambapo kila mtu kwa macho yake atakuwa anaona jinsi dunia inavyokwenda kuisha ndani ..

Read more

USITIE MACHUKIZO NDANI YA NYUMBA YAKO Kumbukumbu la Torati 7:26 ”na machukizo usitie ndani ya nyumba yako, usije wewe kuwa kitu cha haramu mfano wake; ukichukie kabisa, na kukikataa kabisa; kwa kuwa ni kitu kilichoharimishwa”. Machukizo ni nini? Machukizo inatokana na neno “chukizo” na chukizo ni kitu kinachosababisha chuki/hasira. Kwa Mungu kitu chochote kinachoipandisha ghadhabu ..

Read more