JE! UMETOLEWA MISRI? Jina la Mwokozi Yesu, libarikiwe. Karibu tujifunze maandiko, Neno la Mungu wetu ambalo ndio taa iongozayo miguu yetu, na Mwanga wa njia yetu (Zab.119:105). Safari ya wana wa Israeli kutoka Misri, kuelekea Kaanani, ni ufunuo kamili wa safari yetu ya Kristo kutuokoa katika dhambi na kutuingiza katika Neema ya wokovu. Musa anafananishwa ..
Author : Yonas Kisambu
KUWA MTU WA KUTAFAKARI Mwanzo 24:63 Isaka akatoka ili KUTAFAKARI kondeni wakati wa jioni; akainua macho yake, akaona, kuna ngamia wanakuja. Nakusalimu katika jina tukufu la Bwana wetu Yesu Kristo, karibu tuyatafakari maneno ya uzima. Siku ya leo tutaenda kujifunza jambo moja ambalo ni muhimu kulitendea kazi katika safari yetu ya Imani, Na jambo lenyewe ..
JE! BABA ALIYE MBINGUNI HATAZIDI SANA KUWAPA ROHO MTAKATIFU HAO WAMWOMBAO? Je! unaweka jitihada zako kumwomba Mungu nini? Shalom! Mwana/binti wa Mungu, karibu tuyachunguze maandiko, natumai leo utajifunza jambo jipya litakalotusaidia katika maisha yako ya maombi. Ikiwa maombi yako yameegemea sana mahitaji ya mwilini, mfano chakula, kazi, fedha, ndoa, elimu, n.k zaidi ya mambo ya ..
Usiache kupaza sauti yako kama tarumbeta. Kuna watu wanasema kuhubiri injili masokoni na vijiweni ni kukosa kazi ya kufanya na kwamba watu wanaofanya hivyo hawapo sawa kiakili au ni wavivu wa kufanya kazi. Lakini wewe ambaye umeitwa kufanya kazi hii ya Mungu, nataka nikutie moyo kwa Neno la Mungu ya kuwa usiache kupaza sauti yako ..
USIUIGE UBAYA 3Yohana 1:11 “Mpenzi, usiuige ubaya, bali uige wema. Yeye atendaye mema ni wa Mungu, bali yeye atendaye mabaya hakumwona Mungu. Kama wana wa Mungu hatupaswi kuiga mambo mabaya kwa watu wa kidunia. Hutupaswi kuiga uvaaji mbaya, mitindo ya kidunia, anasa, ulevi, uasherati, uhuni, na kanuni za ulimwengu huu. Warumi 12:1″Basi, ndugu zangu, nawasihi, ..
Mavazi ya kikahaba ni mavazi ya aina gani? Mithali 7:7 “Nikaona katikati ya wajinga, Nikamtambua miongoni mwa vijana, Kijana mmoja asiyekuwa na akili, [8]Akipita njiani karibu na pembe yake, Akiishika njia iendayo nyumbani kwake, [9]Wakati wa magharibi, wakati wa jioni, Usiku wa manane, gizani. [10]Na tazama, mwanamke akamkuta, ANA MAVAZI YA KIKAHABA, mwerevu wa moyo; [11]Ana kelele, na ukaidi; Miguu yake ..
Je! Watu watakaookolewa au watakaonyakuliwa ni wachache? Je! biblia inasemaje? kuhusu hili. Hebu tusome jibu la Bwana Yesu. Luka 13:22 “Naye alikuwa akipita katika miji na vijiji, akifundisha, katika safari yake kwenda Yerusalemu. [23]Mtu mmoja akamwuliza, Je! Bwana, watu wanaookolewa ni wachache? Akawaambia, [24]JITAHIDINI KUINGIA KATIKA MLANGO ULIO MWEMBAMBA, kwa maana nawaambia ya kwamba WENGI ..
SIKU YA PARAPANDA KULIA NA WAFU KUFUFULIWA. 1Wakorintho 15:51 “Angalieni, nawaambia ninyi siri; hatutalala sote, lakini sote tutabadilika, [52]kwa dakika moja, kufumba na kufumbua, wakati wa parapanda ya mwisho; MAANA PARAPANDA ITALIA, NA WAFU WATAFUFULIWA, wasiwe na uharibifu, nasi tutabadilika”. Siku moja inapopita, ndivyo tunavyoikaribia ile siku kuu ya kwenda mbinguni, siku ile ya ..
YEYE AJAYE ANAKUJA UPESI Waebrania 10:37 “Kwa kuwa bado kitambo kidogo sana, YEYE AJAYE ATAKUJA, wala hatakawia”. Angalia muda unavyokimbia, angalia majira yanavyobadilika, angalia maasi yanavyoongezeka kwa kasi.. Je! yote haya unajua ni ishara ya nini?..Si ya kitu kingine bali ya YEYE AJAYE!!.. Ndio! Yupo mmoja anayekuja! na yupo karibu sana.. huyo sio mwingine zaidi ..
NENO LA MUNGU NI KIOO Jina la Bwana wetu Yesu Kristo libarikiwe, karibu tujifunze biblia.. Neno la Mungu wetu linafananishwa na vitu vingi katika biblia, kuna mahali linafananishwa na “Taa” (Zab.119:105)”, sehemu nyingine linafananishwa na Upanga wa roho (Waebrania 4:12, Waefeso 6:17)” Na kuna sehemu linafananishwa na “Kioo”. Na leo tutajifunza ni kwa namna gani ..