Lipo jambo la kujifunza katika habari ile tunayoisoma ya watu wa tohara walioleta mafundisho MENGINE KABISA KATIKA INJILI YA KRISTO juu ya watu wa mataifa kutahiriwa, na jambo lenyewe ninalotaka tujifunze ni jinsi gani mitume walivyoweza kulihakiki na kuthibitisha ukweli na uongo wa ja..