Jina Lusifa halipatikani katika Biblia ya toleo la Swahili Union version (SUV) au matoleo mengine ya Kiswahili. Ni neno la Kilatini linalomaanisha “Nyota ya Alfajiri” na limetajwa katika: Isaya 14:12 [12]Jinsi ulivyoanguka kutoka mbinguni, Ewe nyota ya alfajiri, mwana wa asubuhi! Jinsi ulivyokatwa kabisa, Ewe uliyewaangusha mataifa! Watakatifu wa zamani walitafsiri Biblia kutoka lugha ya ..
Category : Uncategorized
SWALI: Nini maana ya Mafarisayo hupanua HIRIZI zao na kuongeza MATAMVUA yao? na ni kwa namna gani, wameketi katika kiti cha Musa? (Mathayo 23:1-5) JIBU: Nakusalimu kwa jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo nakukaribisha katika kuyatafakari maneno ya uzima. Kabla ya kwenda moja kwa moja katika jibu ni vyema tufahamu mafarisayo ni watu gani?? MAFARISAYO ..
Bwana Yesu kuna jambo alilikusudia hapa lifahamike na ndio maana akatoa mfano huo katika kitabu cha Mathayo 5:15, lakini kabla ya kuendelea mbele embu tutazame kwanza nini maana ya maneno hayo, Kiango na Pishi KIANGO Kiango ni kifaa maalumu kinachotumika kushikilia au kuning’inzia taa kwa jina lingine kinaitwa kinara, na kifaa hiki huwa lazima kikae ..
Kwaresma, linalotokana na neno la Kilatini Quadragesima, maana yake ni “Arobaini” na ni kipindi cha siku 40 cha kufunga kinachofanywa na baadhi ya wakristo kabla ya sikukuu ya Pasaka. Kusudi la mfungo ni kuwatayarisha Wakristo katika sala, toba, na unyenyekevu kwa ajili ya Pasaka iliyopo mbeleni. Kwaresma pia inahusishwa na Bwana kufunga kwa siku 40 ..
Jina la Bwana na mwokozi wetu, Yesu kristo litukuzwe. Karibu tujifunze maneno ya Mungu wetu, ambayo ndio taa ya miguu yetu na mwanga wa njia zetu. Je! Pasaka ni nini? Kabla ya kuangalia pasaka ni nini, tuangalie asili ya ili neno Pasaka. Asili ya neno Pasaka, tunaliona pale Mungu alipokuwaa akiongea na Musa pamoja na ..
Nakusalimu katika jina la Bwana wetu na Mwokozi wetu Yesu Kristo! JIBU: IJUMAA KUU. Hii ni siku maalumu inayokumbukwa na wakristo wengi duniani. Ni siku ya ijumaa kabla ya jumapili ya pasaka ambapo wakristo wengi duniani wanaiadhimisha kifo cha Mwokozi wetu Yesu Kristo. Siku hii huadhimishwa kila mwaka na Wakristo wengi Duniani. Kwanini iitwe ijumaaa ..
Nakukaribisha tujifunze Maneno ya Uzima ya Bwana Yesu… Upole ni ile hali ya kutokuonyesha uharibifu kwa mtu au kwa viumbe, na upole umeenda mbele Zaidi pale ambapo unakuwa na uwezo wa kuonyesha madhara fulani kwa mtu lakini hutumii nafasi hiyo kumdhuru.. Mfano mzuri tumtofautishe nyoka na Ngamia.. Nyoka ni kiumbe chenye udhaifu kisichokuwa na uwezo ..
Je! Biblia ni nini? Biblia ni neno lililotoholewa katika lugha ya kigiriki lenye maana ya “mkusanyiko wa vitabu vitakatifu”. Na pale kinapokuwa kimoja huitwa ‘Biblioni’ Na katika biblia hii ambayo ni vitabu vitakatifu ina jumla ya mkusanyiko wa vitabu 66 na ndani ya vitabu hivi vimegawanyika makundi mawili ambayo ni Agano la kale na Agano ..
Kuzumbua maana yake ni kuwa na uwezo kupata kitu Fulani, hususani kile Cha lazima. Kwamfano Unaweza kusema; Namshkuru Mungu nimezumbua kile kitambulisho changu kilichopotea siku nyingi. Maana yake nimekipata kitambulisho changu. Neno hilo utalisoma katika vifungu hivi kwenye biblia Mambo ya Walawi 6:1-7 [1]BWANA akanena na Musa, na kumwambia, [2]Mtu awaye yote akifanya dhambi, na ..
Katika vitu ambavyo watu wengi wameshindwa kuelewa ni hapa, kujua wakati na majira sahihi katika maisha yao juu ya Mungu, na hapa ndipo shetani amewekeza nguvu kubwa sana ili awana..