Author : Paul Elias

Shalom!, Nakusalimu katika jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo. Mtu mwenye rehema ni mtu mwenye huruma, asiyeshikilia chuki,wivu,hasira, visasi,  ni mtu mwenye kusamehe watu wengine hata kama amekosewa na alistahili kutoa huku juu ya mtu alie mkosea yeye anachilia kabisa. Maandiko yanasema mtu wa namna hii anaitendea mema nafsi yake. Na Biblia inasema pia kwa ..

Read more

Shalom!, Nakusalimu katika jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo. Tunaposoma Biblia ndani yake kuna agano la Kale na Agano Jipya,  Sasa katika agano la Kale mambo mengi yalikuwa yakifanyika mwilini yaani walikuwa wanalitimiliza katika mwili. Mithali 31:6 “Mpe kileo yeye aliye karibu na kupotea; Kampe divai yeye aliye na uchungu nafsini. 7 Anywe akausahau umaskini ..

Read more

Shalom!, Nakusalimu katika jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo. Moja ya mistari inayonukuliwa vibaya katika Biblia moja wapo ni huu hasa kwa watu wa Mungu, maana imefika mahali Fedha/mafanikio yanahubiliwa zaidi kuliko Yesu Kristo Mwokozi wetu. Mhubiri 10:19 “Karamu hufanywa kwa ajili ya kicheko, Na divai huyafurahisha maisha; NA FEDHA HULETA JAWABU LA MAMBO YOTE”. Sasa ..

Read more

Shalom!, Nakusalimu katika jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo. Ukiangalia watu wengi wanaofanikiwa katika ulimwengu huu mara nyingi sana husifiwa kwa juhudi, walizonazo pengine hata wao wanapotoa ratiba zao kwa siku zinakuwaje mara nyingi huwa tunaona ni juhudi zao, ustadi wao pengine Elimu zao nk kwa jicho la kawaida unaweza kusema ni kweli na kuna ..

Read more

Shalom nakusalimu katika jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo. Ni kawaida moyo wa Mwanadamu kuugua pale kitu alichotarajia kukipata kikikawia, huenda kwa kuahidiwa na mtu kupewa jambo fulani ama kuahidiwa na Mungu kuwa atapewa jambo fulani pale hicho kitu kinapokawia kuja moyo wake huugua. Maandiko yanasema. Mithali 13:12 “Kilichotarajiwa kikikawia kuja, moyo huugua. Bali haja ..

Read more

Shalom! Nakusalimu katika jina la mwokozi wetu Yesu Kristo!. Mambo mengi yanashindwa kutoka ndani yetu(kuyaacha) kwa watoto wa Mungu wengi kwa sababu bado hawataki/kuamua(kuchukua hatua). Tabia zilizoko ndani yako wakati mwingine unatamani ziondoke lakini haziondoki, ndio kwanza zinazidi kuongezeka(kuota mizizi) zaidi. yote hiyo ni kwasababu hutaki kuchukua hatua kushughulika na hayo mambo maana Roho Mtakatifu ..

Read more

Shalom!, Nakusalimu katika jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo!. Kwa kawaida mwanadamu yoyote huwa anaona njia zake zote ni kamilifu na ni sawa machoni pake mwenyewe. Lakini Neno la Mungu linatwambia. Yeremia 17:9 “Moyo huwa mdanganyifu kuliko vitu vyote, una ugonjwa wa kufisha; nani awezaye kuujua? ” Kumbe moyo huwa ni mdanganyifu kuliko vitu vyote!, ..

Read more

Shalom!, Nakusalimu katika jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo. Kwa kawaida kila moyo wa mwanadamu alieumbwa kwa sura na Mfano wa Mungu. Moyo wake umejaa matamanio ya mambo mbali mbali na katika mambo hayo yapo Mazuri pia yako mabaya. Kuna yanayoonekana kuwa ni mazuri lakini ya siri isiyokuwa dhahiri mbele au machoni pa Mungu. Mfano ..

Read more

Shalom!, Nakusalimu katika jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo. Hekima iliyokuwa ndani ya Sulemani ilikuwa ikumuongoza katika kupambanua ama kufahamu mambo mengi sana, ambayo pia kwetu yanafanyika kuwa ni msaada mkubwa sana kama tukiyasoma na kuyaelewa na kuamua kuchukua hatua.! Hivyo upo uhusiano mkubwa kati ya Uvivu na umasikini, maaana umasikini hauwezi kuja pasipokuwezeshwa na ..

Read more

Shalom nakusalimu katika jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo. Tukisoma katika maandiko Matakatifu Neno la Mungu linasema Yohana 4:24″Mungu ni Roho, nao wamwabuduo yeye imewapasa kumwabudu katika roho na kweli”. Mkristo yoyote aliekombolewa kweli kweli na Damu ya Yesu Kristo hahesabiwi haki mbele za Mungu kwa kushika siku,mwezi,Mwaka, kwa kuabudu. Hatuhesabiwi haki katika hayo!. Kuabudu ..

Read more