Author : Paul Elias

Shalom!, Nakusalimu katika jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo. Yapo mambo mengi sana ambayo Mwokozi wetu Yesu Kristo aliyazungumza ama kuyafundisha kwa mifano iliyo dhahiri kabisa lakini ndani ya mifano humo kulikuwa na Mafumbo ambayo si kila mtu aliyaelewa wapo watu wachache sana waliomuelewa kwa ile mifano aliyozungumza iliyokuwa na mafumbo yanayolenga jambo fulani!!? Sasa ..

Read more

Shalom!, Nakusalimu katika jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo. Kabla ya kujua ni makao gani Bwana wetu Yesu Kristo ni vizuri kwanza tukajua kwa picha ya kawaida nini maana ya Makao? Makao ni Sehemu au Mahali anapopachagua mtu ampabo hapo ataendesha maisha yake ama kufanya shughuli nyingine kwa kadili apendavyo ama atakavyo yeye. Lakini kwa ..

Read more

Shalom!, Nakusalimu katika jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo. Ndoto Ni mtiririko wa wa picha na mawazo pamoja na hisia zinazokuja wakati mtu akiwa hajitambui yaani amelala!, na zinakuja wakati asioujua yeye, anapopata usingizi tu basi mfululizo wa picha na mawazo vinaanza kujitengeneza vyenyewe tu. Na pia mtu anakuwa hapangi nini aote leo au asiote ..

Read more

Shalom!, Nakusalimu katika jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo. Wapunga Pepo kama tunavyosoma katika maandiko Matendo ya Mitume 19:13. Biblia inataja ni wana wa Skewa, Sasa maana nyingine ya kupunga Pepo ni KUFUKUZA PEPO. Sasa zipo namna mbali mbali za kufukuza pepo/kupunga Pepo. Moja ni kupitia Watumishi wa Mungu na nyingine ni kutumia Waganga na ..

Read more

Shalom!, Nakusalimu katika jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo. Melkizedeki kama tunavyosoma katika maandiko si mwingine bali ni Kristo Yesu yaani Mungu!, kwa namna gani? Tutakwenda kutazama kwa undani zaidi ili kulidhibitisha jambo hili. Maandiko yanatuambia…. 1 Timotheo 3:16Na bila shaka siri ya utauwa ni kuu. Mungu alidhihirishwa katika mwili, Akajulika kuwa na haki katika ..

Read more

Shalom!, Nakusalimu katika jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo. Ni Thawabu gani haswa ilikuwa ikizungumziwa hapo?. Tukianza kusoma Mathayo 10:41 kwa makini na ule Mstari wa 41. Tutapata Thawabu haswa iliyokuwa inazungumziwa hapo ni ipi?. Mathayo 10:41″Ampokeaye nabii kwa kuwa ni nabii, atapata thawabu ya nabii; naye ampokeaye mwenye haki kwa kuwa ni mwenye haki, ..

Read more

Shalom!, Nakusalimu katika jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo. Katika Maandiko/Biblia mahali pengine unapokuta mahali Neno limeandikwa “Karama” si wakati wote maana yake inabakia kuwa vilele tu la!, maana karama kwa maana nyingine ni “Zawadi” Ukisoma walaka wa Mtume Paulo kwa Warumi Kuna mahali anasema “….Bali Karama ya Mungu ni uzima wa milele..” Sasa je ..

Read more

Shalom!, Nakusalimu katika jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo, Waraka huu kwa Wafilipi Mtume Paulo aliuandika akiwa kizuizini(Gerezani) sasa wakati akiwa kizuizini Kuna watu waliinuka nao wakawa wanahubiri injili lakini kuna waliohubiri kwa nia njema wengine kwa nia ya kumkomoa Mtume Paulo . Sasa ili kuelewa hili jambo vizurii tusome kuanzia juu kwa makini zaidi. ..

Read more

Shalom!, Nakusalimu katika jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo. Mtu mwenye rehema ni mtu mwenye huruma, asiyeshikilia chuki,wivu,hasira, visasi,  ni mtu mwenye kusamehe watu wengine hata kama amekosewa na alistahili kutoa huku juu ya mtu alie mkosea yeye anachilia kabisa. Maandiko yanasema mtu wa namna hii anaitendea mema nafsi yake. Na Biblia inasema pia kwa ..

Read more

Shalom!, Nakusalimu katika jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo. Tunaposoma Biblia ndani yake kuna agano la Kale na Agano Jipya,  Sasa katika agano la Kale mambo mengi yalikuwa yakifanyika mwilini yaani walikuwa wanalitimiliza katika mwili. Mithali 31:6 “Mpe kileo yeye aliye karibu na kupotea; Kampe divai yeye aliye na uchungu nafsini. 7 Anywe akausahau umaskini ..

Read more