Shalom watumishi wa Mungu. Karibu tujifunze Maandiko Kwanini bwana yesu alisema maneno haya “Sikuja kuleta AMANI duniani bali mafarakano” Tusome Luka 12::51 “Je! Mwadhani ya kwamba nimekuja kuleta amani duniani? Nawaambia, La, sivyo bali mafarakano 52Kwa kuwa tokea Sasa katika nyumba moja watakuwamo watu watano wamefarakana, watatu kwa wawili, wawili kwa watatu. 53Watafarakana baba na ..
Author : Rehema Jonathan
Maana halisi ya neno kuwiwa ni “kudaiwa”. Kwa mfano ukisikia Mtu anasema anawiwa kiasi fulani cha fedha maana yake ni kwamba mtu huyo anadaiwa kiasi fulani cha fedha au anawiwa na mtu mwingine kiasi fulani cha fedha vivyo hivyo anamaanisha anamdai mtu fulani kiasi fulani cha fedha.. Hivyo kwa kiswahili fasaha neno kuwiwa/ kuwia ni ..
Jaa ni eneo maalum ambalo limetengwa kwa ajili ya kuhifadhi takataka , taka hizo zinaweza kuwa zitokanazo na shughuli mbalimbali za kibinadamu kama taka za viwandani, mahospitali, pamoja na majumbani. Maeneo yote hayo uchafu (taka) unaweza kupatikana kutokana na shughuli za mbalimbali zinazofanyika. Pia uchafu waweza kuwa unaotokana na vinyesi vya wanyama ( yaani mbolea) ..
Neno Sharoni maana yake ni “uwanda” au “nchi tambarare”. Katika maandiko tunaona kuna eneo(wilaya) ambalo linajulikana na kufahamika sana na waisraeli kama sharoni ijapokuwa katika biblia hakuna maelezo mengi yaliyotolea kuhusu eneo hilo. Ingawa ni eneo ambalo lilikuwa na rutuba nyingi, na pia lipo karibu sana na fukwe za bahari kubwa ya Mediterenia , waweza ..
Nakusalimu katika jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo. Watu wajikatao wanaozungumziwa hapa ni Wayahudi yaani wafanyao TOHARA. Ambacho ni kitendo cha kukata sehemu ya mbele ya viungo vya uzazi vya mwanaume. Sasa hawa wajikatao yaani Wayahudi walikuwa wakiwataabisha watu na kuwashurutisha watu ambao sio Wayahudi waliomwamini Yesu Kristo. Wakiwataka wafanyiwe tohara kama jinsi torati ilivyoagiza ..
Mithali 12:10 “Mwenye haki huufikiri uhai wa mnyama wake; Bali huruma za mtu mwovu ni ukatili”. Mahali hapa Mungu alitutaka tujue sifa za mtu mwenye haki, au tabia ya mtu mwenye haki mara nyingi huwa na huruma kwa Kila kitu, na huwa haishii kuonyesha huruma kwa wanadamu tu bali hata kwa wanyama pia Na ndiyo ..
Bwana Yesu asifiwe, karibu tena tujifunze Neno la Mungu kama maandiko matakatifu yanavyosema katika zaburi 119:105 Neno lako ni taa ya miguu yangu, Na mwanga wa njia yangu. Kuligana na swali letu ili tuweze kuelewa zaidi tusome kwanza kifungu hiki Ufunuo 21:8 “BALI WAOGA, na wasioamini, na wachukizao, na wauaji, na wazinzi, na wachawi, na ..
Ukisoma katika kitabu cha yoshua watu hawa wametajwa Yoshua 15:13 [13]Kisha alimpa huyo Kalebu mwana wa Yefune sehemu kati ya wana wa Yuda, kama BWANA alivyomwamuru Yoshua, maana ni Kiriath-arba, ni huyo Arba aliyekuwa babaye Anaki (huo ndio Hebroni). Waanaki walikuwa jamii ya watu warefu na wakubwa waliotoka katika uzao wa mtu mmoja anayeitwa anaki ..
Kipindi Bwana Yesu yupo hapa duniani kulikuwa na madhehebu mawili tu katika uyahudi ambayo yalikuwa Mafarisayo na Masadukayo Matendo 5:17 “Akaondoka Kuhani Mkuu na wote waliokuwa pamoja naye, (hao ndio walio wa madhehebu ya Masadukayo), wamejaa wivu,” Tukisoma na matendo 15 inawaelezea Mafarisayo tusome Matendo 15:5 “Lakini baadhi ya madhehebu ya Mafarisayo walioamini wakasimama wakisema, ..
Nakusalimu kupitia Jina lipitalo majina yote JINA LA YESU , Karibu katika kujifunza neno la Mungu litupalo uzima wa milele katika maisha yetu. kuligana na swali hapo, biblia iliposema bila kazi ya mikono, Maana yake ni kuwa kitu chochote kilichotenhenezwa pasipo kitengemezi chochote, kiuhalisi katika maisha yetu, mfano kama mtu anahitaji kitu chochote kwa ajili ..