Author : Rehema Jonathan

Uga ni sakafu ambayo hutumika kwa ajili ya kupepetea ngano, au kwa lugha nyingine kupuria ngano, na sehemu hii ilitumikia kipindi cha zamani kama tunavyojua zamani hakukuwa na mashine kama wakati huu hivyo ilikuwa baada tu ya nafaka kutolewa shambani ikiwa pamoja na majani yake moja kwa moja ilipelekwa kwenye hiyo sakafu kwa ajili ya ..

Read more

Je Biblia ina maananisha nini kusema maneno haya kwa habari ya mitume? Matendo 5:13 “hapana hata mmoja aliyethubutu kuambatana nao; ila watu waliwaadhimisha; ”JIBU: Tusome mstari huo; Matendo ya Mitume 5:12-16 [12]Na kwa mikono ya mitume zikafanyika ishara na maajabu mengi katika watu; nao wote walikuwako kwa nia moja katika ukumbi wa Sulemani; [13]na katika ..

Read more

Bwana Yesu asifiwe Karibu tena katika kujifunza neno la Mungu litupalo uzima wa milele Hapo maandiko yaliposema Warumi 3:22 “ni haki ya Mungu iliyo kwa njia ya imani katika Yesu Kristo kwa wote waaminio. Maana hakuna tofauti; 23 kwa sababu wote wamefanya dhambi, na kupungukiwa na utukufu wa Mungu;” Hapa  tuzingatie mambo haya hili tuelewe ..

Read more

Marko 12:26 “Na kwa habari ya wafu ya kwamba wafufuliwa, hamjasoma katika kitabu cha Musa, SURA YA KIJITI, jinsi Mungu alivyomwambia, akisema, Mimi ni Mungu wa Ibrahimu, na Mungu wa Isaka, na Mungu wa Yakobo?” jibu: Sura ya kijiti iliyozungumziwa hapo si sura ya mti yaani umbile la mti, au sura ambayo ina pia mdomo ..

Read more

Maana ya neno Azali ni “MILELE” yaani kitu kisichokuwa na mwanzo wala mwisho. Hivyo Yesu kuitwa Mwana wa Azali inamaanisha Yesu ni Mwana wa Mungu asiye kuwa na mwanzo wala mwisho. SWALI: Ni kweli Yesu ni Mwana wa Azali? Ndiyo ni kweli, Yesu ni Mwana wa Azali Kwa sababu yeye ni mwana wa Mungu maandiko ..

Read more

Choyo ni kitendo cha mtu kuwa na tamaa kubwa, mfano tamaa ya mali, uongozi, au chakula, na hii mara nyingi huambatana na ubinafsi, yaani umimi na kutumia vitu Kwa pupa ilimradi tu kumyima au kuwanyima watu wengine wasipate. Mithali 21:26 “Kuna atamaniye kwa choyo mchana kutwa; Bali mwenye haki hutoa wala hanyimi”. Tabia hii si ..

Read more

mithali 27:6 Jeraha utiwazo na rafiki ni amini; Bali kubusu kwa adui ni kwingi sana. ” Ukisoma kwa makini kifungu hicho, rafiki aliye kuwa anazungumziwa hapo si rafiki mnafiki Bali rafiki wa kweli mwenye upendo wa dhati Kwa mwenzake, Sasa hapo aliposema jeraha atiwazo na rafiki ni amini, ni kwamba ikiwa huyo rafiki yako atakwambia ..

Read more

Mithali 19:11 Busara ya mtu huiahirisha hasira yake; Nayo ni fahari yake kusamehe makosa Kabla ya kuendelea mbele tutazame kwanza Nini maana ya busara Busara ni kitendo cha mtu kuwa na uwezo wa kaughahiri hasira yake wakati anapoudhiwa mtu na huwa mwepesi wa kusamehe makosa. ukisoma Kutoka 34:6 Bwana akapita mbele yake, akatangaza, Bwana, Bwana, ..

Read more

Haki kibiblia ni tofauti na haki kama inavyojulikana na watu wengi, maana haki kisheria inatafsirika kama kile mtu anachostahili kuwa nacho au kile anachoruhusiwa kufanya, au kile anachostahili kupokea kutoka kwa wengine kwa mujibu wa sheria’. Na maana nyingine haki inafahamika kama watu kutenda matendo mema ni kupata haki . Lakini kibiblia haki ni tofauti ..

Read more

Mithali 10:22 “Baraka ya Bwana hutajirisha, Wala hachanganyi huzuni nayo” Tuelewa kwanza hapo aliposema baraka ya Bwana hutajirisha, aliposema hapo hakumaanisha kuwa kipimo cha kubarikiwa na Bwana, baada ya hapo ni kuwa tajiri tu, hapana maana ukiangalia wapo watu wasio mcha Mungu ambao ni matajiri, na wengine maskini lakini na hao pia ni matajiri Kwa ..

Read more