Author : watakatifuwasikuzamwisho

Kwanini Adamu na Hawa, Mungu aliwaita kwa jina moja ADAMU ?

Jibu: Tusome.. Mwanzo 5:1 “Hiki ndicho kitabu cha vizazi vya Adamu. Siku ile Mungu alipoumba mtu, kwa sura ya Mungu alimfanya; 2 mwanamume na mwanamke aliwaumba, akawabariki AKAWAITA JINA LAO ADAMU, siku ile walipoumbwa”. Sio kwamba, Mungu alikosea, kuwapa jina moja, kana kwamba hakumuona mwanamke Hawa. Hapana, kulikuwa na sababu kubwa sana.. Mungu anavyoona sio ..

Read more

Tabia ya Uungu tutakayoshiriki ni ile ya mwili wa Utukufu wa Bwana wetu, na Mwokozi wetu Yesu Kristo, ambayo katika hiyo tutaishi milele pasipo kufa wala kuugua na kutawala naye hapa duniani baada ya karamu ya Mwana-Kondoo na y..

Read more

Nondo ni kitu gani katika biblia?(Mathayo 6:19)

Hivi ni baadhi ya vifungu ambavyo utaweza kukutana na Neno hilo. Isaya 51:7 “Nisikilizeni, ninyi mjuao haki, watu ambao mioyoni mwenu mna sheria yangu; msiogope matukano ya watu, wala msifadhaike kwa sababu ya dhihaka zao. 8 Maana nondo itawala kama vazi, na funza atawala kama sufu; bali haki yangu itakuwa ya milele, na wokovu wangu ..

Read more

Wengi wamekumbwa na madhara haya ya kuchukuliwa na mafundisho ya namna nyingine ya kujiepusha na vyakul..

Read more

Biblia ilitabiri kuwa, utafika wakati ambao Wakristo wengi watakapoyakataa (watakaposhindwa kuvumilia na kudumu katika) mafundisho yenye uzima ..

Read more

Neno la Mungu ni kinyume chake, lenyewe lipo vile vile, haijarishi dunia nzima inafanya nini ili kwenda na wakati, haijarishi wanadamu wataamini nini ili kuendana na wakati, lenyewe litabaki..

Read more

Je! Ni kweli kuwa, karama ya kunena kwa lugha haikupewa kipaumbele  katika kanisa na mtume Paulo kama makanisa mengi yanavyofany..

Read more

SABURI KATIKA BIBLIA ni uwezo wa kukubali mateso, dhiki, na shida kwa ajili ya Mungu, ni uwezo wa kuvumilia ukawiaji wa ahadi kutoka kwa Mungu, pasipo kuchoka na wala kupoteza imani na tumaini k..

Read more

Moja ya vitu ambavyo biblia imevitaja kuwa ni vitu vya kukimbiwa, ni IBADA ZA SANAMU. Vingine vikiwemo zinaa na tamzaa z..

Read more

Je! Ni lazima kila tunaposali au kuomba, tupige magoti? Kwa sababu tunaona katika habari ya Danieli, biblia inasema kuwa, alikuwa AKIPIGA MAGOTI MARA TATU KILA SIKU alipokuwa akisali (Danieli 6:10) Je! Kwa sababu hiyo tuhitimishe kuwa NI LAZIMA kupiga magoti tunaposali ..

Read more