Author : watakatifuwasikuzamwisho

Tofauti na mahali/eneo linaloitwa Arabuni, ambalo limetajwa sehemu kadha wa kadha katika biblia, kwamfano ukisoma vifungu hivi utaliona..

Tofauti na mahali/eneo linaloitwa Arabuni, ambalo limetajwa sehemu kadha wa kadha katika biblia, kwamfano ukisoma vifungu hivi utaliona.. Yeremia 25:24 “na wafalme wote wa Arabuni, na wafalme wote wa watu waliochanganyika wakaao jangwani”; Ezekieli 27:20 “Dedani alikuwa mchuuzi wako, kwa nguo za thamani za kutandikia farasi. 21 Arabuni, na wakuu wote wa Kedari, ndio waliokuwa ..

Read more

Ufisadi ni nini katika maandiko?(Waefeso 5:18)

Tofauti na inavyofahamika au kuzoeleka, kuwa ufisadi ni kitendo cha kukosa uaminifu kwa kuhujumu fedha za shirika Fulani au taasisi Fulani, kwa lengo la kujipatia faida zako binafsi. Lakini tukirudi katika biblia Neno ufisadi limetumika kueleza tabia nyingine tofauti. Na tabia yenyewe ni uasherati, uzinzi,  umalaya/ Ukahaba uliovuka mipaka, ambao haujali hata jinsia, umri, au ..

Read more

Ikumbukwe kwamba, Ibrahimu aliambiwa na Mungu kuwa, atakuwa baba wa mataifa mengi duniani, yaani atakuwa na wana wengi katik..

Read more

Mungu baada ya kumjaribu Ibrahimu na Ibrahimu kushinda, Mungu alimbariki Ibrahimu kwa baraka mbali mbali, lakini kuna baraka moja ambayo aliambiwa na Mungu kuwa, kupitia uzao wake, MAK..

Read more

Mungu ni mmoja tu! aliyeumba mbingu na nchi na vitu vyote vilivyomo na ndiye aliye juu..

Read more

Mungu aliiadhibu miji ya Sodoma na Gomora kutokana na uovu uliokuwa ukifanywa na watu wa miji hiyo, lakini sababu nyingine ya Mungu kuiadhibu miji hiyo ni ili KUWA ISHARA AU MFANO KWA W..

Read more

JIBU NI HAPANA! Waraka huo haukuwa kwaajiri ya Wakorintho pekee. Kumekuwa na mapokeo baadhi leo hii katika kanisa, ambayo yanapinga maagizo ya moja kwa moja ya Mungu kutoka katika maandiko matakatifu [Kwenye waraka wa ..

Read more

Maneno hayo Bwana aliyasema juu ya SIKU YA SABATO, alipokua akiwajibu Mafarisayo baada ya kuwaona wanafunzi wake wakivunja masuke shambani n..

Read more

Kuna tabia moja iliyooneshwa  na mitume, Andrea na Filipo kwenye biblia ambayo na sisi kama wanafunzi wa Bwana Yesu hatuna budi kuwa nayo. Na tabii hii au kitu hicho kilichofanywa na hao mitume tunakisoma katika ..

Read more

Maandiko yanasema kuwa, Bwana wetu Yesu Kristo kama Mwana-kondoo wa Mungu, alizichukua dhambi za dunia nzima kwa kufa kwake pale msalabani [kwa kuchinjwa pale masalabani] sasa, alizichukua vipi dhambi za watakatifu ambao walikufa kabla yake yeye? Mfano; Adamu, Hawa, Ibrahimu, Isaka, ..

Read more