Ipo tabia nyingine ya Mungu tunayopaswa kuifahamu ambayo ni fundisho tosha kwetu sisi pindi tunaposoma wito wa Ezekieli kuhani, au nabii Ezekieli katika maandiko m..
Ipo tabia nyingine ya Mungu tunayopaswa kuifahamu ambayo ni fundisho tosha kwetu sisi pindi tunaposoma wito wa Ezekieli kuhani, au nabii Ezekieli katika maandiko m..
Je! Utatoa hesabu ya nini katika siku ile? Utatoa hesabu ya nini katika siku ile utakayosimama mbele ya Muumba Wako? Utatoa hesabu ya nini katika ile siku ya hukumu? Kwa sababu, sisi sote tutasimama mbele ya kiti cha hukumu cha Mungu, kama maandiko matakatifu y..
Mfalme Yosia katika wakati wa kutawala kwake, aliagiza ukarabati wa nyumba ya Bwana, kwa kuwatuma Shafani mwana wa Azalia, Maaseya Akida wa mji, na Yoa mwana wa Yoahazi, kwenda kwa Hilkia kuhani kwa lengo la kuihesabu fedha inayoletwa nyumbani mwa Bwana ili wapate kukarabati nyumba ..
Kuna madhara makubwa mno pale ambapo mtu anapolisikia neno la kweli la Mungu, na kisha kulipuuzia kwa makusudi kabisa kwa kutokuwaza moyoni mwake na kuona ni namna gani afanye ili aweza kulitii neno hil..
Hii ni tabia ya Yehoyakimu aliyekuwa mfalme wa Yuda ambayo inaendelea sasa katika nyakati hizi za mwisho, tabia ambayo wewe ndugu mpendwa unayesoma ujumbe huu hup..
ipo tabia moja ya Nuhu ambayo unapaswa kuwa nayo sasa hivi katika nyakati hizi za uovu ili upate kuwa salama na ghadhabu ya Mungu inayokuja kwa sababu,..
Katika maisha tunayoishi, kila mtu anauona wema wa Mungu ambao haujifichi, haijalishi kama huyo mtu maisha yake ni ya dhambi na anasa, au ni ya haki na utakatifu, makundi hayo yote ya watu yanauona wema wa Mungu kwani wote anatupa afya, wote anatupa pumzi na uhai, wote tunaoa na kuolewa, wote tunapata watoto, na ndio ..
Kumekuwa na mitazamo na mafundisho mengi sana ambayo yamekuwa yakiwapotosha watu wengi sana katika siku hizi za leo kuhusiana na wokovu au (kuokoka), mwingine atakuambia, ukisha tubu na kumkili Yesu Kristo kwa kinywa chako inatosha, ubatizo hauna maana tena kwasababu wapo watu wengi tu wamebatizwa lakini bado wanaendelea na maisha ..
Tunaposoma habari za Yoshua Mwana wa Nuni, wa kabila la Efraimu, ambaye alikuwa ni mmoja wa wapelelezi kumi na wawili (12) waliotumwa kwa mara ya kwanza kwenda kuipeleleza nchi ya kaanani, kuna jambo kubwa..
Kama Kanisa la Mungu, lipo Jambo la muhimu sana tunalopaswa kujifunza kutoka katika kisa cha Nadabu na Abihu kwenye maandiko matakatifu, kwa sababu, kisa cha watu hao hakikuandikwa kwa bahati mbaya h..