Sote tunafahamu kuwa, Mungu husema na kila mtu duniani kwa nyia nyingi na tofauti tofauti, Mungu husema na watakatifu kwa njia tofauti tofauti, husema na wenye dhambi kwa nyia nyingi mno, husema pia na watu walio na ulemavu wa akili, ..
Sote tunafahamu kuwa, Mungu husema na kila mtu duniani kwa nyia nyingi na tofauti tofauti, Mungu husema na watakatifu kwa njia tofauti tofauti, husema na wenye dhambi kwa nyia nyingi mno, husema pia na watu walio na ulemavu wa akili, ..
Moja ya kazi ya ibilisi duniani ni kutaka kuwafanya wanadamu wadumu katika dhambi na kujifariji katika hizo, na kitu ambacho ibilisi anakitumia ili kuwafanya watu wadumu katika dhambi si kingine zaidi ya maandiko matakatifu, kumbuka, ibilisi haji na kitabu cha fizikia, au sayansi, au ..
Umepata faida gani tangu uliopoanza kuwa mnywaji wa pombe na mlevi? Kuna chochote kile cha maana ulichokipata zaidi ya kujishushia heshima katika jamii kwa sifa mbaya ya ulevi? Kuna choc..
Ulishawahi jiuliza kwanini Mungu aliamua kutetemesha misingi ya gereza wakati Sila na Paulo walipokuwa wakimwomba na kumwimbia usiku wa manane? Au unadhani Mungu alishindwa kuwatoa gerezani Sila na Paulo katika kifungo ch..
Maneno hayo aliyaandika mtume Paulo kwa makanisa yaliyokuwapo Korintho, ambayo kutokana na utajiri wa neema ya Mungu waliyoipata kwa kuamini, na kujaaliwa karama za rohoni, na nguvu..
Matayo 24:26 Basi wakiwaambia, Yuko jangwani, msitoke; yumo nyumbani, ms..
Wengi wamekumbwa na madhara haya ya kuchukuliwa na mafundisho ya namna nyingine ya kujiepusha na vyakul..
Biblia ilitabiri kuwa, utafika wakati ambao Wakristo wengi watakapoyakataa (watakaposhindwa kuvumilia na kudumu katika) mafundisho yenye uzima ..
Neno la Mungu ni kinyume chake, lenyewe lipo vile vile, haijarishi dunia nzima inafanya nini ili kwenda na wakati, haijarishi wanadamu wataamini nini ili kuendana na wakati, lenyewe litabaki..
Moja ya vitu ambavyo biblia imevitaja kuwa ni vitu vya kukimbiwa, ni IBADA ZA SANAMU. Vingine vikiwemo zinaa na tamzaa z..