Mfano huo Bwana Yesu aliwatolea wakuu wa makuhani na wazee wa watu baada ya kuona kuwa wana mioyo migumu ya kumwamini japokuwa walikuwa wakifahamik..
Mfano huo Bwana Yesu aliwatolea wakuu wa makuhani na wazee wa watu baada ya kuona kuwa wana mioyo migumu ya kumwamini japokuwa walikuwa wakifahamik..
Kwenye maandiko kuna mfalme mmoja wa taifa la Israel aliyeitwa Sauli, ambaye pia alikuwa ni mfalme wa kwanza wa taifa hilo. Mfalme huyu kuna siku Mungu alimpa AGIZO kupitia nabii Samweli ..
kuwa, Mungu huwa ana thamini sana damu ya mwenye haki ambaye anauwawa kwa fitina na siku zote damu hiyo huwa ina thamani sana ..
Shalom, Bwana Yesu apewe sifa. Ukisoma maandiko utakungua kuwa mtume Paulo alitokewa na Bwana Yesu wakati akiwa njiani kwenda kuwakamata Wakristo waliokimbilia Dameski, na kusudi au sababu ya Bwana kumtokea Paulo maandiko ..
Malaki 1:6 Mwana humheshimu baba yake, na mtumishi humcha bwana wake; basi, KAMA MIMI NI BABA YENU, HESHIMA YANGU IKO WAPI? Na kama mimi ni bwana wenu, kicho changu ki wapi?..
TAFUTA PESA! TAFUTA PESA!..
Jifunze tabia hii kutoka kwa Apol..
Ukisoma maandiko utagundua tabia moja ambayo mtume paulo alikuwa nayo kabla ya kumwamini Bwana Yesu na pia hata baada ya kumwamini Bwana Yesu. Na tabia hiyo si nyingine zaidi ya kuwa mtu wa BIDII SANA katika mambo yake, hasa kwa yale aliyoyaamini kuwa ni kwaajiri..
Akasema yasiyofaa kwa Mi..
SALA ZAKO ZIMEFIKA JUU NA KUWA UKUMBUSHO MBELE ZA MUNGU. ..