Kumekuwa na baadhi ya watu ambao kwa kukosa maarifa, wanajikuta wanatoa maneno ambayo ni kinyume na maandiko matakatifu katika sala zao, hii ni kutokana na kuwa wavivu kuchunguza na kusoma Biblia zao, au kudanganywa na dini za uongo na mitume wa uongo ambao wanajigeuza na kuwa mfano wa mitume..