SWALI: Je! Ni lazima mtu afahamu au akajifunze kidogo lugha ya Kiebrania ili aweze kuelewa maandiko matakatifu na Kumfah..
SWALI: Je! Ni lazima mtu afahamu au akajifunze kidogo lugha ya Kiebrania ili aweze kuelewa maandiko matakatifu na Kumfah..
SWALI: Naomba kuuliza, biblia inasema kuwa Yesu Kristo ndiye Mungu Mkuu (Tito 2:13), aliye juu ya mambo yote na mwenye kuhimidiwa milele na milele, Amina (Warumi 9:5). Na kumbuka hakuna Mungu wawili bali ni mmoja tu na ana nafsi moja kama maandiko yanavyosema katika (Amosi 6:8). Sasa kama Bwana Yesu ndiye Mungu, je! kule mlimani alienda kumu..
Jina la Bwana na Mwokozi wetu Yesu Kristo lipewe sifa milele na milele, Yeye ni Alfa na Omega, Mwanzo na Mwisho, Mungu Mwenye kuhimidiwa mile..
Jina la Bwana na Mwokozi Wetu Yesu Kristo litukuzwe, sifa na Utukufu ni vyake milele na milele, Amina. Ulishawahi kujiuliza Kwanini mtume Paulo kwa uweza wa Roho aliandika “BWANA NDIYE..
Lipo funzo katika habari ya mfalme Ahabu (wa Israeli), na nabii wa Mungu Mikaya mwana wa Imla, ambalo na sisi pia watu wa kizazi hiki tunapaswa kujifunza na kujirekebisha pindi tusikipo wakati huu wa sasa tukiwa hai, kwa sababu maandiko yanasema kuwa, m..
Wakati Bwana Yesu alipowatuma wale mitume wake 12 (thenashara), kwenda kuhubiri habari njema za ufalme wa Mungu, aliwapa maagizo fulani fulani, na miongoni mwa maagizo hayo ni kuwa, mtu asiwe na KANZU MBILI, sasa je! Kanzu ndio vazi takatifu kwa wakristo kulingana na andi..
SWALI: Naomba kufahamishwa maana ya huu mstari? Mithali 19: 4 “Utajiri huongeza rafiki wengi; Bali maskini hutengwa na rafiki yake” JIBU: Katika mstari huu mwandishi(Sulemani), halengi kwamba tuwe matajiri ili tuongeze marafiki wengi.. Hapana bali alikuwa anaeleza uhalisia ulivyo katika huu ulimwengu wa dhambi. Kwamba mali ndio imekuwa kiunganishi cha watu, tabia ambayo Kristo hana. ..
Basi, zamani zile za ujinga Mungu alijifanya kama hazioni; BALI SASA ANAWAAGIZA WATU WOTE KILA MAHA..
Jina la Bwana na Mwokozi Wetu Yesu Kristo lipewe sifa milele na milele, Yeye ni Alfa na Omega, Mwanzo na Mwisho, Mungu Mkuu na Mwokozi Wetu, sifa na Utukufu ni vyake milele na milele, Amina. Sababu ya Kristo kuja duniani na kufa msalabani, ilikuwa ni kuwakusanya wanadamu wote waliopotea katika dhambi kama kondoo na kuwaleta ..
SWALI: Kwanini sanduku la Mungu, mahali ambapo Mungu aliweka jina lake lilitwaliwa na wafilisti h..