Category : Uncategorized

SWALI: Naomba kufahamishwa maana ya huu mstari? Mithali 19: 4 “Utajiri huongeza rafiki wengi; Bali maskini hutengwa na rafiki yake” JIBU: Katika mstari huu mwandishi(Sulemani), halengi kwamba tuwe matajiri ili tuongeze marafiki wengi.. Hapana bali alikuwa anaeleza uhalisia ulivyo katika huu ulimwengu wa dhambi. Kwamba mali ndio imekuwa kiunganishi cha watu, tabia ambayo Kristo hana. ..

Read more

Jina la Bwana na Mwokozi Wetu Yesu Kristo lipewe sifa milele na milele. Leo kwa neema za Mungu tutamtazama na kujitajifunza kwa mfalme mmoja wa Israeli (mtumishi wa Mungu), aliyefahamika kama Yeroboamu Mwana wa Nebati, kwa sababu biblia inasema, mambo hayo ya agano la kale yaliandikwa kwa mifano ili kutuonya sisi wat..

Read more