Basi, zamani zile za ujinga Mungu alijifanya kama hazioni; BALI SASA ANAWAAGIZA WATU WOTE KILA MAHA..
Basi, zamani zile za ujinga Mungu alijifanya kama hazioni; BALI SASA ANAWAAGIZA WATU WOTE KILA MAHA..
Jina la Bwana na Mwokozi Wetu Yesu Kristo lipewe sifa milele na milele, Yeye ni Alfa na Omega, Mwanzo na Mwisho, Mungu Mkuu na Mwokozi Wetu, sifa na Utukufu ni vyake milele na milele, Amina. Sababu ya Kristo kuja duniani na kufa msalabani, ilikuwa ni kuwakusanya wanadamu wote waliopotea katika dhambi kama kondoo na kuwaleta ..
SWALI: Kwanini sanduku la Mungu, mahali ambapo Mungu aliweka jina lake lilitwaliwa na wafilisti h..
Mchungaji wako ni nani? Je! Ni Bwana (Yesu Kristo), ndiye aliye mchungaji wako? Au ni Ibilisi ndiye aliye mchun..
JIBU: Mstari huo unakuhusu wewe, mimi, mama yako, baba yako, mtoto wako, ndugu zako, Rais wako, waziri wako, mafalme wako, malkia wako, mume wako, mke wako, n..
Je! Agizo hilo la Bwana kwa mitume wake la kuwafufua wafu lilikuwa ni kwa baadhi ya mitume tu na si wote? Kwa sababu tunaona katika maandiko matakatifu kuwa, hakuna sehemu yoyote ile iliyorekodiwa mtume Yohana akifufua wafu, wala mtume Yakobo, wala mtume Mathayo mtoza ushuru, w..
Jina la Bwana na Mwokozi Wetu Yesu Kristo lipewe sifa milele na milele. Leo kwa neema za Mungu tutamtazama na kujitajifunza kwa mfalme mmoja wa Israeli (mtumishi wa Mungu), aliyefahamika kama Yeroboamu Mwana wa Nebati, kwa sababu biblia inasema, mambo hayo ya agano la kale yaliandikwa kwa mifano ili kutuonya sisi wat..
Je! Wafu wakubwa kwa wadogo ni ..
Bwana alimaanisha nini aliposema “Heri ayawe yote asiyechukizwa nami?” (Mat..
SWALI:Biblia inasema kuwa, Mungu alipomuumba mtu wa kwanza Adamu, aliona si vyema awe peke yake, hivyo akamfanyia msaidizi wa KUFANANA NAYE, je! Msaidizi huyo wa kufanana nay..