SWALI: Naomba kuuliza, je! Maandiko matakatifu yanajichanganya katika Wakolosai 3:1 na Matendo 7:56? Kwa sababu tunaona Paulo anasema Kristo AMEKETI MKONO WA KUUME WA MUNGU, lakini Luka anasema Stefano alimwona Kristo AMESIMAMA MKONO WA KUUME WA MUNGU. Sasa hapo tumwelewe nani na kumwacha nani? Kwa sababu Huyu anasema Kristo AMEKAA na huyu Anasema Kristo ..