Jibu: Mungu anayezungumziwa hapo ni MMOJA TU, YESU KRISTO, ambaye ndiye Baba (Isaya 9:6), tena ni Mwana (Mathayo 14:33), na pia ni Roho (2 Wakorintho 3:17), wala hakuna Mungu watatu na wala Mungu hana nafasi tatu, hivyo ni vyeo tu kama sehemu nyingine anavyofahamika kama Adamu..