Shalom. Nakusalimu katika jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo Karibu tuyatafakari maneno ya uzima ya mwokozi. Huenda umekuwa mvivu na mzito katika kuomba mpaka ukumbushwe kila siku pasipo hivyo huwezi kuomba.. ni kwa sababu hujatambua maombi ni nini na haujafahamu nguvu iliyoko katika maombi.. ni maombi yangu kupitia makala hii Mungu akufungue macho tena ufahamu ..
Author : Paul Elias
Nakusalimu katika Jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo. Karibu tuyatafakari maneno ya uzima. Kila siku unaposoma maandiko hususani katika maandiko siku zote tembea na neno hili. “ 1 Wakorintho 10:11“Basi mambo hayo yaliwapata wao kwa jinsi ya mifano, yakaandikwa ili kutuonya sisi, tuliofikiliwa na miisho ya zamani.” Unaposoma Habari za wana wa Israeli jifunze kutoka ..
Nakusalimu katika jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo Karibu tuyatafakari maneno ya uzima. Katika nyakati hizi za Mwisho kumezuka kundi kubwa sana la viongozi ambao ni vipofu.. si kwamba hawaoni la! Kwa macho ya damu na nyama wanaona vizuri sana lakini katika roho ni vipofu hawaoni kabisa. Na hii ni hatari sana maana wao ni ..
Nakusalimu katika Jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo Karibu tujifunze maneno ya uzima ya mwokozi wetu. Umewahi kujiuliza kwa nini Bwana aliwapofusha macho na kuifanya mizito mioyo yao ili wasiongoke/kumgeukia yeye? Je! Bwana anaetaka watu waokolewe kwa nini afanye jambo kama hili? Je hapendi watu waokolewe?Yapo maswali mengi sana unaweza kujiuliza juu ya jambo ..
Shalom nakusalimu katika jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo Karibu tujifunze maneno ya uzima. Wakati fulani nikiwa nimekaa na watumishi wenzangu tukitafakari neno la Mungu. Roho Mtakatifu alitufundisha jambo kubwa sana. Ambalo hatukulifahamu hapo kabla. Tukiwa katika kutafakari tukisoma maandiko Roho Mtakatifu alisema nami kwa njia ya ufahamu ndani yangu maneno haya “Baraka hazitafutwi,Baraka zinakufata/zinakutafuta ..
Nakusalimu katika jina la mwokozi wetu Yesu Kristo. Andiko hili linamaanisha nini kusema“usimuache rafiki yako wala rafiki ya baba yako….” Tusome mstari huu… Mithali 27:10 “Usimwache rafiki yako mwenyewe, wala rafiki ya baba yako, Wala usiende nyumbani mwa ndugu yako siku ya msiba wako. Afadhali jirani aliye karibu kuliko ndugu aliye mbali. Andiko hili linatufundisha ..
Nakusalimu katika Jina la mwokozi wetu Yesu Kristo Karibu tuyatafakari maneno y uzima ya mwokozi wetu. Kuungama ni kukubali au kukiri jambo wazi wazi pasipo kupindisha wala kusema uongo. Mfano Kama mtu mwenye dhambi ambae amedhamiria kumpa maisha yake Yesu Kristo kuwa ni Bwana na mwokozi wake. Kwa kutoka katika giza na kuingia Nuruni huyo ..
Nakusalimu katika jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo Karibu tuyatafakari maneno ya uzima. Kama watu tuliozaliwa mara ya pili ni wazi kuwa kuna mambo mengi tumewahi kuyafanya au kufanyiwa kabla hatujampokea Yesu Kristo. Mengine huenda yaliyawahi kutokea tukiwa katika wokovu kwa kuanguka katika dhambi fulani na nk. Sasa maandiko yanatusisitiza kama wana wa Mungu tusiyakumbuke ..
Shalom nakusalimu katika jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo. Je? Mtu mwenye kujipendekeza ni mtu wa namna gani? Mithali 29:5Mwenye kujipendekeza kwa jirani yake, Hutandika wavu ili kuitega miguu yake’. Kabla kwenda kuutazama vizuri mstari huu ni vizuri tufahamu nini maana ya kujipendekeza? Kujipendekeza. Ni kitendo cha mtu kumsifia mtu mwingine kwa sifa nyingi ambazo ..
FAHAMU MAANA YA MITHALI 29:25. Nakusalimu katika Jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo. Maandiko yanasema.. Mithali 29:25”Kuwaogopa wanadamu huleta mtego;Bali amtumainiye BWANA atakuwa salama.” Je kuwaogopa wanadamu kunaletaje mtego? Na ni mtego gani huo unaweza ukampata mtu kama akiwaogopa wanadamu? Mambo mengi yanayafanya watu kwa hofu ya kuwaogopa watu wanaowazunguka. Na kuwahofu kuwa itakuwaje nisipofanya ..