Author : watakatifuwasikuzamwisho

Je! Umeiamini I..

Read more

Siku sahihi ya kuabudu ni ipi, siku ya sabato ni lini?

Sabato maana yake ni PUMZIKO. Na pumziko la Mungu lilikuja katika siku ya saba, baada ya kumaliza uumbaji wake kwa siku sita. Hivyo akaibariki, akasema siku hiyo ni Sabato yangu. Lakini miaka mingi mbeleni, alipokuja kulichagua taifa moja teule, akawaagiza kuwa siku hiyo ya saba itakuwa ni siku ya kupumzika kwao, Na taifa lenyewe ndio ..

Read more

Neno Daawa linamaana gani kibiblia?

Hili ni Neno linalomaanisha mashitaka, au malalamiko, ambayo lengo lake ni kufikishwa mbele ya mahakama ili kutolewa hukumu. Kwamfano, pale mfanyakazi wako, amekuibia, au amekutukana, au amekuharibia mali zako na wewe unataka kumpeleka mahakamani kwa tendo hilo, ili awajibishwe. Sasa hilo shitaka ambalo unampelekea mahakamani kwa jina lingine ndio linaloitwa Daawa. Neno hili katika agano ..

Read more

SWALI: Ikiwa yeye ndio mwanzilishi wa ubatizo wa maji tele na akawabatiza watu wengi, swali ni je yeye naye alibatizwa kama wao? Na kama ni ndio je alibatizwa na nani? JIBU: Katika suala la wokovu, kanuni ya Mungu huwa haichagui cheo cha mtu, ukubwa wa mtu, nafasi ya mtu au kwamba wewe ni mwanzilishi au ..

Read more

Biblia inamaanisha nini kusema “Yaliyopotoka hayawezi k..

Read more

Kwanini Bwana alisema ‘Ninyi ni chumvi ..

Read more

Je! kupiga punyeto ni dhambi kwa mujibu wa biblia?

Dhambi hainzii mwilini, bali dhambi inaanzia rohoni, na ndio maana Bwana Yesu alisema.. Mathayo 15:18 “Bali vitokavyo kinywani vyatoka moyoni; navyo ndivyo vimtiavyo mtu unajisi. 19 Kwa maana moyoni hutoka mawazo mabaya, uuaji, uzinzi, uasherati; wivi, ushuhuda wa uongo, na matukano; Hivyo, kabla ya kutaka kufanya tendo lolote la zinaa, huwa linaanzia kwanza moyoni, kwa ..

Read more

Maziwa ya akili yasiyoghoshiwa ni yapi, kibiblia?(1Petro 2:2)

Neno hilo utalisoma katika mstari huu; 1Petro 2:1 “Basi, wekeni mbali uovu wote na hila yote, na unafiki na husuda na masingizio yote. 2 Kama watoto wachanga waliozaliwa sasa yatamanini maziwa ya akili yasiyoghoshiwa, ili kwa hayo mpate kuukulia wokovu”; Kughoshi ni kubadilisha umbile, au kutia dosari, aidha kwa kuongeza au kupunguza kitu Fulani ili ..

Read more

Kulingana na Mathayo 5:29, Je! viungo vyetu vikitukosesha tuvikate?

“Na mkono wako wa kuume ukikukosesha, ukate uutupe mbali nawe;” Tusome habari nzima; Mathayo 5:28 “lakini mimi nawaambia, Kila mtu atazamaye mwanamke kwa kumtamani, amekwisha kuzini naye moyoni mwake. 29 Jicho lako la kuume likikukosesha, ling’oe ulitupe mbali nawe; kwa maana yakufaa kiungo chako kimoja kipotee wala mwili wako mzima usitupwe katika jehanum. 30 Na ..

Read more

Je biblia inaruhusu kubatiza kwa ajili ya wafu?(1Wakorintho 15:29)

1Wakorintho 15:29 “Au je! Wenye kubatizwa kwa ajili ya wafu watafanyaje? Kama wafu hawafufuliwi kamwe, kwa nini kubatizwa kwa ajili yao? Ili kuelewa mtume Paulo alimaanisha nini katika habari hiyo, tuanzie mistari ya juu kidogo, 1Wakorintho 15:12 “Basi, ikiwa Kristo anahubiriwa ya kwamba amefufuka katika wafu, mbona baadhi yenu husema kwamba hakuna kiyama ya wafu? ..

Read more