Author : Yonas Kisambu

CHANZO CHA MATATIZO Jina kuu la Bwana wetu Yesu Kristo libarikiwe. karibu tujifunze Neno la Mungu ambalo ndio taa iongozayo njia zetu. Biblia inasema “Mjue sana Mungu ili uwe na Amani (Ayubu 22:21)”..Siku zote ukijua sababu ya jambo Fulani basi unapata amani. Amani inakuja baada ya kujua sababu ya jambo Fulani. Leo tutajifunza juu ya ..

Read more

Anasa ni nini? Na kwanini ni dhambi kwa mkristo kuishi maisha ya anasa. Anasa linatotoka na neno la Kiarabu lenye maana ya raha au starehe tele katika maisha ya binadamu. Anasa mara nyingi hujumuisha kumiliki vitu fulani vya thamani kubwa, au kuishi mazingira fulani, au kutumia vyakula fulani, au kitu chochote cha kufurahisha mwili ambacho ..

Read more

Usikimbilie kutafuta msaada kwa miungu. Jambo linalomchukiza Mungu sana ni pale watoto wake wanapokimbilia kutafuta msaada kwa miungu wakati yeye yupo na hashindwi na jambo lolote. Na miungu siyo tu kwenda kwa waganga wa kienyeji, au kwa manabii wa uongo.. bali hata kwa watu wa kawaida…ukiwategemea sana wanakuwa miungu yako na mwisho wa siku Mungu ..

Read more

ADUI AKIONA AMESHINDWA ANAKUJA KWA HILA. Si kila wakati ibilisi atakuja kama mpingamizi, au mharibifu, hapana, lengo lake litakuwa ni hilo ndio, lakini akijua hawezi tena kuja moja kwa moja, atakuja kwa ujanja wa kujionyesha ameshindwa wewe una nguvu nyingi, atajiweka chini yako, ajifanye kuwa yeye siku zote ni mnyonge tu.. lakini kumbe ameshakuweza. Ndicho ..

Read more

SILAHA MADHUBUTI ANAYOITUMIA SHETANI KUWAANGUSHA WAKRISTO. Kama wewe ni mkristo halisi, yaani namaanisha umeokoka kweli kweli kwa kutubu dhambi zote na kuacha ulimwengu kwa ufupi umezaliwa mara ya pili, Fahamu kuwa unayo maadui wengi wanakuwinda usiku na mchana, na maadui hao sio wanadamu wenzako, bali ni shetani na jeshi lake. Usidhani kuwa shetani anafurahia wewe ..

Read more

Je! unakunywa maji kwa namna gani? Shalom mtu wa Mungu, karibu tujifunze biblia, Neno la Mungu liwezalo kutupa uzima tele. Tukisoma kitabu cha Waamuzi 7 na ule mstari wa 4, Mungu anamwambia Gideoni.. “BWANA akamwambia Gideoni; Hata sasa watu hawa ni wengi mno; uwalete chini majini, nami nitawajaribu huko kwa ajili yako; kisha itakuwa ya ..

Read more

MTASITA-SITA KATIKATI MAWAZO MAWILI HATA LINI? 1Wafalme 18:20 “Basi, Ahabu akapeleka watu kwa wana wa Israeli wote, akawakusanya manabii pamoja katika mlima wa Karmeli. [21]Naye Eliya akawakaribia watu wote, akanena, Mtasita-sita katikati ya mawazo mawili hata lini? BWANA akiwa ndiye Mungu, mfuateni; bali ikiwa Baali ni Mungu, haya! Mfuateni yeye. Wale watu hawakumjibu neno. Je! ..

Read more

ITHAMINI NEEMA YA WOKOVU Biblia inatuambia.. “…utimizeni wokovu wenu wenyewe kwa KUOGOPA na KUTETEMEKA”.(Wafilisti 2:12) Unajua kwanini tunapaswa kutimiza wokovu wetu kwa kuogopa na kutetemeka? Ni kwasababu, wokovu ni jambo lisilo la kawaida, ni jambo la kushangaza sana. Ukitafakari kwa kina namna ilivyopatikana na jinsi tulivyoipokea..tunabaki tu kushukuru..basi!. Hii neema ya wokovu ambao unapatikana sasa ..

Read more

Je vipofu hawana dhambi kulingana na Yohana 9:41. Tusome.. Yohana 9:41 “Yesu akawaambia, Kama mngekuwa vipofu, msingekuwa na dhambi; lakini sasa mwasema, Twaona; basi dhambi yenu inakaa”. Awali ya yote tufahamu kuwa vipofu ambao Bwana anawazungumzia hapo sio vipofu wa mwilini bali ni wa rohoni, maana yake ni watu wasioona, wasiojua mambo ya rohoni hao ..

Read more

NAYE AKAJINYOSHA AKALALA CHINI YA MRETEMU. Mretemu ni nini? Mretemu ni aina ya mti ujulikanao sasa kama “MTARAKWA”. Zipo jamii nyingi za mitarakwa kulingana na mahali na mahali. Mtarakwa unaomea katika bara la Afrika ni tofauti kimwonekano na ule unaomea katika bara la Ulaya, (kutokana na hali ya hewa). Lakini yote inamatawi yanayofanana na tabia ..

Read more