Je! Ni lazima kila tunaposali au kuomba, tupige magoti? Kwa sababu tunaona katika habari ya Danieli, biblia inasema kuwa, alikuwa AKIPIGA MAGOTI MARA TATU KILA SIKU alipokuwa akisali (Danieli 6:10) Je! Kwa sababu hiyo tuhitimishe kuwa NI LAZIMA kupiga magoti tunaposali ..