Je! Ni kweli kuwa, karama ya kunena kwa lugha haikupewa kipaumbele katika kanisa na mtume Paulo kama makanisa mengi yanavyofany..
Je! Ni kweli kuwa, karama ya kunena kwa lugha haikupewa kipaumbele katika kanisa na mtume Paulo kama makanisa mengi yanavyofany..
SABURI KATIKA BIBLIA ni uwezo wa kukubali mateso, dhiki, na shida kwa ajili ya Mungu, ni uwezo wa kuvumilia ukawiaji wa ahadi kutoka kwa Mungu, pasipo kuchoka na wala kupoteza imani na tumaini k..
Moja ya vitu ambavyo biblia imevitaja kuwa ni vitu vya kukimbiwa, ni IBADA ZA SANAMU. Vingine vikiwemo zinaa na tamzaa z..
Je! Ni lazima kila tunaposali au kuomba, tupige magoti? Kwa sababu tunaona katika habari ya Danieli, biblia inasema kuwa, alikuwa AKIPIGA MAGOTI MARA TATU KILA SIKU alipokuwa akisali (Danieli 6:10) Je! Kwa sababu hiyo tuhitimishe kuwa NI LAZIMA kupiga magoti tunaposali ..
Tofauti na mahali/eneo linaloitwa Arabuni, ambalo limetajwa sehemu kadha wa kadha katika biblia, kwamfano ukisoma vifungu hivi utaliona.. Yeremia 25:24 “na wafalme wote wa Arabuni, na wafalme wote wa watu waliochanganyika wakaao jangwani”; Ezekieli 27:20 “Dedani alikuwa mchuuzi wako, kwa nguo za thamani za kutandikia farasi. 21 Arabuni, na wakuu wote wa Kedari, ndio waliokuwa ..
Tofauti na inavyofahamika au kuzoeleka, kuwa ufisadi ni kitendo cha kukosa uaminifu kwa kuhujumu fedha za shirika Fulani au taasisi Fulani, kwa lengo la kujipatia faida zako binafsi. Lakini tukirudi katika biblia Neno ufisadi limetumika kueleza tabia nyingine tofauti. Na tabia yenyewe ni uasherati, uzinzi, umalaya/ Ukahaba uliovuka mipaka, ambao haujali hata jinsia, umri, au ..
Ikumbukwe kwamba, Ibrahimu aliambiwa na Mungu kuwa, atakuwa baba wa mataifa mengi duniani, yaani atakuwa na wana wengi katik..
Mungu baada ya kumjaribu Ibrahimu na Ibrahimu kushinda, Mungu alimbariki Ibrahimu kwa baraka mbali mbali, lakini kuna baraka moja ambayo aliambiwa na Mungu kuwa, kupitia uzao wake, MAK..
Mungu ni mmoja tu! aliyeumba mbingu na nchi na vitu vyote vilivyomo na ndiye aliye juu..
Mungu aliiadhibu miji ya Sodoma na Gomora kutokana na uovu uliokuwa ukifanywa na watu wa miji hiyo, lakini sababu nyingine ya Mungu kuiadhibu miji hiyo ni ili KUWA ISHARA AU MFANO KWA W..